Jioni hii majina yametoka kwa walioomba nafasi za ukarani kwa ajili ya zoezi la sensa,yamebandikwa jiji jioni hii urasimu umegubika katika suala zima la kuteua majina wengi wameteuliwa kutokana na kujuanajuana ....kama na wewe ni mmojawapo ya watu walioomba nenda kaangilie ...nawasilisha