Nyamambovu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 226
- 723
Wakuu kwa mujibu wa tangazo la NACTE leo 22 August 2021 majina ya waliochaguliwa yanatakiwa kutangazwa ila mpaka saivi sijaona chochote. Wajuvi wa Mambo naombeni msaada mdogo wenu pengine kuna taarifa zilitoka hapa katikati za mabadiliko Mimi sikuziona.
Natanguliza shukrani zangu
Natanguliza shukrani zangu