macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,705
- 39,413
you make it sound like it's so simple,,, hata hivyo lazima ujue kuwa hizi sheria ni za muhimu mara elfu zaidi ya huyo mgombea chekibobu mmoja,,
And it is simple. Sioni chochote cha kukwaza hapa. Hujajibu swali lake? Watu wote tunatakiwa tuwajue mahakimu kwa sura? Jibu ni hapana. Tunatakiwa tujue zilipo ofisi na tunadili na ofisi!