Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Wadau mwanzo nilijua kuwa Mkuu Vasco kaenda kupokea Phd. huko Turkey lakini leo katika baadhi ya vyombo imeripotiwa kuwa amekwenda huko na wafanyabiashara kutoka Tanzania wapatao 55 mwenye majina please na wanajishughulisha na biashara gani hapa nchini ita-add value...
Naanza na hawa wawili najua hawa hawakosi...
1.Elvis Musiba-former Mwenyekiti wa TCCIA
2.Aloyce Mwamanga-Mwenyekiti wa TCCIA
3.
4.
5.
6.
55.????
Nawasilisha...
Naanza na hawa wawili najua hawa hawakosi...
1.Elvis Musiba-former Mwenyekiti wa TCCIA
2.Aloyce Mwamanga-Mwenyekiti wa TCCIA
3.
4.
5.
6.
55.????
Nawasilisha...