Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
hawa hawahitajii kuongozana nae kwani deal zao hazihitaji wafanyabiashara wa nje..
nasikitika wazalendo wetu watarejea na shopping ya nguo, pc, simu na viatu........
Haya maneno ya kuhisi sio mazuri mkuu,
hivi unahisi huko Turkey vitu kama nguo na simu,viatu na ....................,ni bei rahisi?
Sasa baadala ya kwenda huko si wangekata tiketi kwenda Asia?China,Thailand nk
Karibu robo tatu ya walio enda huko ni serious businessmen and women kuliko unavyo fikilia wewe.jaribu na wewe uende walao Nairobi kwenye msafara wa namna hiyo basi