Upo sahihi Mkuu, Segerea kuna uhakika wa kurudia soon.yule dada alijiondoa jimboni na akaapa mahakani na hakupiga kampen..NEC wakarudisha jina lake..hiyo kesi ukawa watashinda saa moja asubuhi, uchaguzi unarudiwa pale...so hana kosa kabisaaa
Upo sahihi Mkuu, Segerea kuna uhakika wa kurudia soon.yule dada alijiondoa jimboni na akaapa mahakani na hakupiga kampen..NEC wakarudisha jina lake..hiyo kesi ukawa watashinda saa moja asubuhi, uchaguzi unarudiwa pale...so hana kosa kabisaaa
Wasiompenda kaja... Kelele za Ester Bulaya, Ester Matiko, Halima Mdee, Zimepata dawa
Huyo mtoto wa lubuva ameingiaje , atolewe mana baba yake alituhujumu UKAWA
mkuu Lizaboni utani mwingine sio mzuri ujue, Ben anapewaje viti maalum.. the tehWewe Ben hawajafikiria kukupa viti maalum? By the way Juliana aliongoza kwenye mkoa wake wa Songwe. Na waliochukuliwa ni wale walioongoza kwenye mchujo
mpeni wolper acheni uzindaki
Hivi nyie Chadema waislam wamewakosea nini nafasi zote hizo waislam hawazidi kumi?
Upendo pendeza akawanyooshe vibibi na vibabu vya ccm
Huyo mtoto wa lubuva ameingiaje , atolewe mana baba yake alituhujumu UKAWA
Mbona ma-ccm kibao ktk list hii?
Umeandika kwa hasira sana ndugu yangu. Je huyo binti alipata kura hizo elfu 40 baada ya kufanya kampeni au ni kweli kwamba hakufanya kama mwandishi unayemjibu alivyosema? Binafsi nafikiri mfumo wa kuachiana majimbo waliufanya karibu sana na uchaguzi na kuwachanganya wapiga kura. Wangetoa muda wa kuwaeleza wapiga kura na wale washindani wangeshirikiana katika kampeni baada ya kupatanishwa na 'kuponya madonda' ya kuenguliwa. Lakini sasa huyu binti wa watu mnamuandama bure kwa sababu naye alishawekeza na alikuwa na wafuasi (elfu 40)waliokuwa wakimtaka agombee na kama mwanasiasa si rahisi yeye kufanya maamuzi ya kuwaudhi kwa manufaa ya siku za usoni.Ficha ujinga wako kama alikuwa hakubaliki na huyo ana ndio anakubalika mtatiro alipataje kura elfo 70 na huyo Dada yako elfu 40? wewe unakaa segerea ya wapi? kama huyu Dada akipitishwa viti maalumu bila ya maelezo ya kutosha nitajitoa, tumeumizwa sana kukosa jimbo kizembe.
Ni yule wa maisha plus?
Wewe Ben hawajafikiria kukupa viti maalum? By the way Juliana aliongoza kwenye mkoa wake wa Songwe. Na waliochukuliwa ni wale walioongoza kwenye mchujo