Majina ya vitu na watu ambayo hayapaswi kutamkwa kwenye baadhi mikoa

Kunyaranyara ni Jina kwa wajita, kwa waha mh... Maswa kwa wafipa Ukisema wafwa

Hiyo Maswa iliwahi nikosti wakati nipo darasa la kwanza pale Chanji Primary School........tuliingia darasa ambalo ubaoni kulikuwa na maandishi na juu kulikuwa na kichwa cha habari MASWALI. Kiranja tuliyekuwa naye akatuambia ukitoa LI kwenye kile kichwa cha habari kitasomekaje. Kipindi hicho ndio tunajifunza kusoma, kwa kujiona mjuaji kuliko wengine nikaropoka MASWA na muda huo mwalimu anapita nje akasikia, kilichofuata hapo unaweza kutabiri,,,,,,
 
Tembo kwa Unguja Makunduchi, (Natumia tafsida ni UKE) na Neno Makunduchi ndio jina la Mji na Kijiji cha Makunduchi ucje ukwambia Mtu wa Makunduchi Tembo la Mamio. Atakumeza kama Chatu anavomeza.
 
Tembo kwa Unguja Makunduchi, (Natumia tafsida ni UKE) na Neno Makunduchi ndio jina la Mji na Kijiji cha Makunduchi ucje ukwambia Mtu wa Makunduchi Tembo la Mamio. Atakumeza kama Chatu anavomeza.

So either useme ndovu au umtaje kwa kizungu yani elefant?

Lols
 
Mmmh! Uchi wa mwanamke unaitawje?sasa ukiongeza neno (ma ) mwanzoni ukaikamilisha sentensi ni jina moja gumu sana kwa kisukuma.(mak_ma) au kumalija cc huku ni neno la kawaida kawaida labda huko pwani.
 
Et mwnaume ukagonge uchagani ukafunguliwa na faza hause afu umulizie mama watoto wake umwambie nimekuja kufuata "kinu" mamangu umeisha...
 
Mfile=mpeleke(hawa ni wasumbwa na wanyamwezi)

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom