Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Mwena (ilipo Ndanda na nimesoma hapa) mtaa maarufu hapa ni mkorosho haramu, hapa utapata kila aina ya nyama za pori, chaguo lako, Liputu, Ndoro,
Hata panya wapo?
Mwena (ilipo Ndanda na nimesoma hapa) mtaa maarufu hapa ni mkorosho haramu, hapa utapata kila aina ya nyama za pori, chaguo lako, Liputu, Ndoro,
Nanganga haipo Lindi????
Namtumbo haipo masasi ni mojawapo ya wilaya inayounda mkoa wa songea na Nanguruwe haipo masasi ipo mtwara vijijini ni mojawapo ya tarafa zinazounda wilaya ya mtwara (v).Mimi sijawahi kufika huko, lakini nasikia kuna kijiji kinaitwa Namtumbo na kingine Nanguruwe ni kweli vipo?
Hihihiiii napajua huko ntojo,mpeta,milundelunde,nanjota ,milunda,mpeta,chiungutwa,lupaso ,lipumburu,njawara,liurungu,ntambaswala,ntenga..nakachereni ww
Namtumbo haipo masasi ni mojawapo ya wilaya inayounda mkoa wa songea na Nanguruwe haipo masasi ipo mtwara vijijini ni mojawapo ya tarafa zinazounda wilaya ya mtwara (v).
kuweka sawa,songea c mkoa,mkoa ni ruvuma
inatia raha ukiskia wamwera wanataja vijiji vyao
Mbona hamjauliza kuhusu aina ya Vyakula na Vinywaji ambavyo vinapatikana au ni maarufu Masasi? Mfano Chakula kama Matamba, Makondowole,----- Viazi vikuu, Chamaki mchanga nk. Vinyaji kama Nipa, Ulaka, Tembo nk. Ulizeni jameni Bah!
Mwena (ilipo Ndanda na nimesoma hapa) mtaa maarufu hapa ni mkorosho haramu, hapa utapata kila aina ya nyama za pori, chaguo lako, Liputu, Ndoro,
Unamuuliza nani wakati wewe ni wa Huko.....................?????Lukuledi bado wanauza mabumunda??
Namtumbo haipo masasi ni mojawapo ya wilaya inayounda mkoa wa songea na Nanguruwe haipo masasi ipo mtwara vijijini ni mojawapo ya tarafa zinazounda wilaya ya mtwara (v).
vipo mkuu Nakapanya, Nanyani (Nakole), Naswala (Nambawala), Natembo (Nandembo)..........kuna utani fulani ati ukalale na Nakapanya Ukale na Nguruwe..........Mimi sijawahi kufika huko, lakini nasikia kuna kijiji kinaitwa Namtumbo na kingine Nanguruwe ni kweli vipo?
Hapo kwenye mkorosho haramu,umesahau kuweka PANYA.
Nanguruwe zipo mbili mkuu ya Newala na ya Masasi..................haya majina huenda yana maana
Mkuu hakuna njia mzuri........zote ni balaaa kitu hiki ndicho kilichonifanya niache kazi na kurudi kwetu Mara.................We jamaa umenikumbusha 2009 nilifika huko na nilishangaa kitu kimoja,yaani masasi ni kuzuri kuliko hata Lindi ambao ni mkoa wakati masasi ni Wilaya. Nina jamaa zangu hapo masasi mbovu , nataka kuja lkn nikifikiria kile kipande cha somanga nakosa raha,pia niambie ni njia gani nzuri kupita kwa maana refreshment kati ya Dar au songea ,mi nipo Dom
Namtumbo haipo masasi ni mojawapo ya wilaya inayounda mkoa wa songea na Nanguruwe haipo masasi ipo mtwara vijijini ni mojawapo ya tarafa zinazounda wilaya ya mtwara (v).