Vijana wengi walioandikishwa mwaka huu katika kituo cha Batist kata ya Kichangani Morogoro mjini majina yao hayakuonekana na baadhi yao wameambiwa warudu tu ni bahati mbaya! inakuwaje kwa taarifa zaidi ongea na mwanagu 0716697683 amekosa haki yake ya kupiga kura imeniuma sana:A S-baby: