ni muhimu tuyajua majina. Sababu ya kuyajua na kuyatangaza hadharani ni kutaka kutoa adhabu stahiki. baadhi ya Mhe..R..Mtaafu na heshima kibao, ulinzi na bado kodi zetu zinawalipa pensheni kumbe mijizi kama mingine. Binafsi nina imani watajulika mchan kweupe.
wengine wanafanya money loundering kwa NGOs zao kwa kutuzuga. Adhabu ipatikane hapa hapa duniani
Vilevile juhudi za pamoja( public effort) zifanyike ili pesa zirejeshwe.
wengine wanafanya money loundering kwa NGOs zao kwa kutuzuga. Adhabu ipatikane hapa hapa duniani
Vilevile juhudi za pamoja( public effort) zifanyike ili pesa zirejeshwe.