Majina ya uhamisho yametoka leo lakini yameacha maswali kwani ni machache sana na ni mikoa tisa tu

Lundavi

JF-Expert Member
Aug 11, 2016
327
320
Jamani majina ya uhamisho yametoka leo lakini bado yameacha maswali kwani ni machache sana na ni mikoa tisa tu ambayo ni Dar, Tabora, Geita, Mara, Moro, Simiyu, Mbeya, Kigoma na Kilimanjaro. Hata hivyo kuna wengi pamoja na kukamilisha taratibu bado majina hatuyaoni kwenye mikoa hiyo tajwa.

Kwa mwenye ufafanuzi juu ya hili tafadhali. Maana hapa napandwa na kichaa coz barua zangu nimezipeleka kwa katibu tawala mkoa tangu tar. 20 November 2017
 
Aloo kuna wenzako walikamilisha hizo taratibu kama wewe tangu 2016 lakini bado majina yao hayajatoka. Ngoja niwataarifu labda watakuwemo kwenye hiyo orodha mpya.
 
Tulia kijana watoa kwa awamu....zamu yako ikifika na ww utahama....usijar
 
Jamani majina ya uhamisho yametoka leo lakini bado yameacha maswali kwani ni machache sana na ni mikoa Tisa tu ambayayo ni Dar, Tabora, Geita, Mara, Moro, Simiyu, Mbeya, kigoma na Kilimanjaro. Hata hivyo kuna wengi pamoja na kukamilisha taratibu bado majina hatuyaoni kwenye mikoa hiyo tajwa.
Kwa mwenye ufafanuzi juu ya hili tafadhali. Maana hapa napandwa na kichaa coz barua zangu nimezipeleka kwa katibu tawala mkoa tangu tar. 20 November 2017
Kama huo uhamisho kuna pesa serikali inatoa basi jua sasa hivi imefulia ndio maana wanaenda slow kulingana na kidogo kilichopo!!!
 
Aloo kuna wenzako walikamilisha hizo taratibu kama wewe tangu 2016 lakini bado majina yao hayajatoka. Ngoja niwataarifu labda watakuwemo kwenye hiyo orodha mpya.
Yale yalishafutwa, mm mwenyewe nilikuwa mmojawapo na nilianza upya
 
Kama huo uhamisho kuna pesa serikali inatoa basi jua sasa hivi imefulia ndio maana wanaenda slow kulingana na kidogo kilichopo!!!
Tuliowengi sio wa kugharamiwa na serikali, tunajigharamia wenyewe
 
Jamani majina ya uhamisho yametoka leo lakini bado yameacha maswali kwani ni machache sana na ni mikoa tisa tu ambayo ni Dar, Tabora, Geita, Mara, Moro, Simiyu, Mbeya, Kigoma na Kilimanjaro. Hata hivyo kuna wengi pamoja na kukamilisha taratibu bado majina hatuyaoni kwenye mikoa hiyo tajwa.

Kwa mwenye ufafanuzi juu ya hili tafadhali. Maana hapa napandwa na kichaa coz barua zangu nimezipeleka kwa katibu tawala mkoa tangu tar. 20 November 2017
Ingekuwa vyema hata hayo machache uyaweke hadharani tuyaone.
 
Back
Top Bottom