nyie ambao hamjapwekewa loan,kama mna vigezo mtarekebishiwa mcwe na hofu.loans board inatoa majina kwa awamu...
<br /><br />kama una Gmail ukisha-download hayo ma file jitumie email ukiwa ume attach hayo ma-file then kayasome kupitia Gmail
<br />Nimefanikiwa kupata haya tu ila kadri nitakavyofanikiwa nitayaweka hapajamvini,msisahau shkrani.
Kama mwaka jana yalitoka mwez september,hawa wa mwaka huu wana kihere here cha nin?
Jaman niangalizieni jina langu,morris d.wambura,
uangaliziwe wapi mkuu...
Mbona yanaonyesha ni ya 2011/12
Mbona yanaonyesha ni ya 2011/12
aCHANA NA VILAZA WANATULETEA SREDI ZA ZAMANI NTAWA...Dah hii post imenipa mkojo kweli kweli.