Majina ya kurithi na nguvu zake juu maisha yetu

Financial Analyst

JF-Expert Member
Nov 27, 2017
1,605
2,743
Kwa kawaida katika jamii zetu tuna utamaduni wa watoto kupatiwa majina ya wanafamilia waliowatangulia, kwa mfano babu, bibi, mjomba, mama kubwa, etc.

Lakini kumekuwa na upande mwingine wa story kutokana na utamaduni huu, namaanisha matokeo baada ya haya majina kupatiwa watoto.

■ Inasemekana mtoto akikuwa kwa asilimia kubwa anafanana mienendo na tabia na yule mtu aliyerithishwa jina lake.

■ Wengine wana pata hadi alama za mwili kama za yule mtu aliyerithishwa jina lake.

■ Wengine wanapitia consequences au tabu kutokana na dhambi alizozifanya mtu yule alie rithishwa naye jina.

Ukifuatilia hii ishu unajikuta unajiuliza swali la kuwa what is the meaning of life, what is the purpose of life? Na ni kwa njia gani maisha ya mtu yanakuwa covered na maisha ya mtu mwingine hadi labda hata kuibadilisha hatma yake kwa saba tu ya jina walilochangiana.

What is the force behind all of this, ni roho ipi, ni asili ipi inayochangia hadi hii ishu kutokea.

Sina ujuzi mkubwa wa hili swala, natumaini michango ya wana JF inaweza kunipatia mwangaza zaidi.
 
Note this:

Neno linaumba.

Kuna kitu cha ziada kinaweza hitajika ili neno liweze kuumba, ila pia linaweza neno kusimama peke yake na kuumba.

Mfano mzuri:

Mungu alitumia "Neno" kuumba ulimwengu.

Kiapo cha maneno, kinafunga pia.
 
Note this:

Neno linaumba.

Kuna kitu cha ziada kinaweza hitajika ili neno liweze kuumba, ila pia linaweza neno kusimama peke yake na kuumba.

Mfano mzuri:

Mungu alitumia "Neno" kuumba ulimwengu.

Kiapo cha maneno, kinafunga pia.
For sure
 
Mimi naitwa Muhammad, lakin matendo yangu na life yangu tofauti kabisa, nakula kitimoto, mjani, sanitizer, kidang'a sifanyi ibada za ummah, nna ibada zangu, yaani hata siku hiyo kama ipo Muhammad akisema haya wa jinnah wangu piteni huku mkapumzike kwenye pepo mm ditoruhusiwa, nna mambo ya kishenzi tofauti na jina langu.
 
Mimi naitwa Muhammad, lakin matendo yangu na life yangu tofauti kabisa, nakula kitimoto, mjani, sanitizer, kidang'a sifanyi ibada za ummah, nna ibada zangu, yaani hata siku hiyo kama ipo Muhammad akisema haya wa jinnah wangu piteni huku mkapumzike kwenye pepo mm ditoruhusiwa, nna mambo ya kishenzi tofauti na jina langu.
Umeshuhudia mwenyewe kuwa wewe Ni shetani, sisi nani Hadi tupinge!!!!
 
Mawazo ya misukule ya dini ndio kama haya.

Sasa unaambiwa jina la asili linakufuata na hasa hayo majina ni ya kiafrika, hapo limtu litataka lipewe jina Christopher, wewe unajua huyo Christopher alikuaje?

Ama lingine likiambiwa hivyo linataka libatizwe Juliana, wewe huyo Juliana ulinua tabia zake?

Dini zinapumbaza sana watu.
 
Mimi naitwa Muhammad, lakin matendo yangu na life yangu tofauti kabisa, nakula kitimoto, mjani, sanitizer, kidang'a sifanyi ibada za ummah, nna ibada zangu, yaani hata siku hiyo kama ipo Muhammad akisema haya wa jinnah wangu piteni huku mkapumzike kwenye pepo mm ditoruhusiwa, nna mambo ya kishenzi tofauti na jina langu.
Jamaniii :oops:
 
Anachooongelea hapo nikurithi jina kwny ukoo, kama babu alikuwa anaitwa juma na ww napewa juma kwa sababu ya babu yako.
Wewe ndio umemuelewa sasa jamaa, ngoja nitoe ushuhuda, kuna dogo alipozaliwa akapewa jina fulani lakini akawa analia usiku mzima watu hawalali.
Walipoulizwa wazee wa ki mila wakasema apewe jina langu, alipoitwa jina langu asubuhi yake akaacha tabia ya kulia usiku mpaka leo ana miaka 2 nandhani,yule dogo amefanana na mimi kichwa hadi tabia
 
Wewe ndio umemuelewa sasa jamaa, ngoja nitoe ushuhuda, kuna dogo alipozaliwa akapewa jina fulani lakini akawa analia usiku mzima watu hawalali.
Walipoulizwa wazee wa ki mila wakasema apewe jina langu, alipoitwa jina langu asubuhi yake akaacha tabia ya kulia usiku mpaka leo ana miaka 2 nandhani,yule dogo amefanana na mimi kichwa hadi tabia
Hata mimi nina ushuhuda wa hii mtu wa karibu yangu sana
 
Mimi naitwa Muhammad, lakin matendo yangu na life yangu tofauti kabisa, nakula kitimoto, mjani, sanitizer, kidang'a sifanyi ibada za ummah, nna ibada zangu, yaani hata siku hiyo kama ipo Muhammad akisema haya wa jinnah wangu piteni huku mkapumzike kwenye pepo mm ditoruhusiwa, nna mambo ya kishenzi tofauti na jina langu.
we sio muhammed ni Mwamedi.
 
Mawazo ya misukule ya dini ndio kama haya.

Sasa unaambiwa jina la asili linakufuata na hasa hayo majina ni ya kiafrika, hapo limtu litataka lipewe jina Christopher, wewe unajua huyo Christopher alikuaje?

Ama lingine likiambiwa hivyo linataka libatizwe Juliana, wewe huyo Juliana ulinua tabia zake?

Dini zinapumbaza sana watu.
Ni km jina Jackline yaani hawa chunguza wengiiiii wanakuwaga Malaya, havichoki kupugwa miti, popote twende tu, vimbau mbau, Viongo, havidumu kwa ndoa, chuki, visasi, bila kujali anashindana na nani!! chunguza.....
 
Kwa kawaida katika jamii zetu tuna utamaduni wa watoto kupatiwa majina ya wanafamilia waliowatangulia, kwa mfano babu, bibi, mjomba, mama kubwa, etc.

Lakini kumekuwa na upande mwingine wa story kutokana na utamaduni huu, namaanisha matokeo baada ya haya majina kupatiwa watoto.

■ Inasemekana mtoto akikuwa kwa asilimia kubwa anafanana mienendo na tabia na yule mtu aliyerithishwa jina lake.

■ Wengine wana pata hadi alama za mwili kama za yule mtu aliyerithishwa jina lake.

■ Wengine wanapitia consequences au tabu kutokana na dhambi alizozifanya mtu yule alie rithishwa naye jina.

Ukifuatilia hii ishu unajikuta unajiuliza swali la kuwa what is the meaning of life, what is the purpose of life? Na ni kwa njia gani maisha ya mtu yanakuwa covered na maisha ya mtu mwingine hadi labda hata kuibadilisha hatma yake kwa saba tu ya jina walilochangiana.

What is the force behind all of this, ni roho ipi, ni asili ipi inayochangia hadi hii ishu kutokea.

Sina ujuzi mkubwa wa hili swala, natumaini michango ya wana JF inaweza kunipatia mwangaza zaidi.
Hizo ni stori tu,mimi na majina mawili moja la babu yake n baba,lingine baba yake na maza ....historia yao walikua wapole n huyo mzaa mama nimemuona alifariki nkiwa frm 2.
Sina vinasaba vyovyote vya wao kitabia mimi napenda mbususu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom