Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Ktk pitapita\kutembea mijini&vijijini nimekutana na misemo yenye kuchekesha kwnye magari, pikipiki.

1."hakuna kuforce relationship just cry and move on..Hata ambulance inaliaga ikienda".

2."uliwaza urithi mzee kapona".

3."ukichoka lala"-hii ni baada ya lori kupinduka.

4."kaa mbali sijabeba ulanzi'-lori ya mafuta.

5."yatima hadeki".

6."mpende mkeo beki 3 hana maana".

7."Test your Airbag"-nyuma ya lori kwenye ngao.

8."utatoa? hutoi?".

9."Bashite kama Bashite".

10."sawa ni baya Baba yako analo?"

ongezea ambayo ulikutanayo...
 
...
IMG_20210311_202754.jpg
 
Back
Top Bottom