Boniphace Kichonge JF-Expert Member Jul 31, 2017 1,606 1,956 Nov 18, 2019 #3,524 Daladala za Dar Ni shida tupu! Eti Hawala Hakai Eda
samurai JF-Expert Member Oct 16, 2010 11,495 24,174 Nov 18, 2019 #3,526 Danga moja likifa, danga lingine linazaliwa. Danga moja likifa lingine linazaliwa immediately.
Joowzey JF-Expert Member Nov 13, 2015 13,083 13,299 Nov 18, 2019 #3,534 Niliona moja limeandikwa ofisi ya rais, nikachukua na video kabisa
mjitabulinga Member Sep 14, 2019 54 64 Nov 18, 2019 #3,536 "Ukitoa droo ujanani uzeeni utapiga penati"
Mr Confidential JF-Expert Member Jul 1, 2018 1,492 2,357 Nov 18, 2019 #3,538 Ndani ya daladala pale konda anapodai nauli utasikia " Subiri ikisimama ntakupa " "Hivi nlivokaa ntakupaje?" "Utapewa nyuma " "Utapewa mbele " "Tulia! Nakupa " "Nakupa, subiri nikae vizuri " ""Ngoja waje kukupa muongozo........ Cc mahondaw """. Jinga kabisa
Ndani ya daladala pale konda anapodai nauli utasikia " Subiri ikisimama ntakupa " "Hivi nlivokaa ntakupaje?" "Utapewa nyuma " "Utapewa mbele " "Tulia! Nakupa " "Nakupa, subiri nikae vizuri " ""Ngoja waje kukupa muongozo........ Cc mahondaw """. Jinga kabisa