Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,927
Mpangilio wa Kada na Ukumbi za usaili utakaofanyika katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni Dar es Salaam tarehe 16 desemba 2017.
Awamu ya kwanza: Saa moja kamili asubuhi
Mtendaji kata II
Msaidizi wa maktaba
Laboratory techniician II water
Afisa utalii II
Awamu ya pili: Saa tatu kamili asubuhi
Afisa tarafa II
Afisa ushirika
Awamu ya tatu: Saa tano kamili asubuhi
Afisa mifugo msaidizi
Operata kompyuta msaidizi
Afisa biashara msaidizi
Mvuvi msaidizi II
Afisa biashara II
Awamu ya nne: Saa saba kamili mchana
Afisa kilimo msaidizi
Afisa usafirishaji
Msaidizi mifugo
Awamu ya tano: Saa tisa kamili alasiri
Wakili wa serikali
Mtakwimu II
Afisa ardhi II
Fundi sanifu II ujenzi
Kwa Majina ya wasailiwa na kumbi walizopangiwa kufanyia usaili tarehe 16/12/2017, Bofya HAPA
Awamu ya kwanza: Saa moja kamili asubuhi
Mtendaji kata II
Msaidizi wa maktaba
Laboratory techniician II water
Afisa utalii II
Awamu ya pili: Saa tatu kamili asubuhi
Afisa tarafa II
Afisa ushirika
Awamu ya tatu: Saa tano kamili asubuhi
Afisa mifugo msaidizi
Operata kompyuta msaidizi
Afisa biashara msaidizi
Mvuvi msaidizi II
Afisa biashara II
Awamu ya nne: Saa saba kamili mchana
Afisa kilimo msaidizi
Afisa usafirishaji
Msaidizi mifugo
Awamu ya tano: Saa tisa kamili alasiri
Wakili wa serikali
Mtakwimu II
Afisa ardhi II
Fundi sanifu II ujenzi
Kwa Majina ya wasailiwa na kumbi walizopangiwa kufanyia usaili tarehe 16/12/2017, Bofya HAPA