Chezzo Uliza ni binti huyu , HGL mkwawa 2000.
buji bujiku, ain't a joke
ni kweli kuna majina yanautata...kama hawa mawaziri hapa africa! David kinembe (alkuwa tz), james kakuma (trade,zambia), akaja katomba (health, ghana), nalia namboo (sheria,botswana) anton chipumbu (finance,mòzambque) wilfred kiboro(nmg, kenya) &KAZAKUKU FIRAFISI (industry,japan)! Mnaweza mka GOOGLE hayo majina kwa wasioamini..!
Mboro ni waKIBOSHO; wengi wakija town wanajiita MBOYA
ni kweli kuna majina yanautata...kama hawa mawaziri hapa africa! David kinembe (alkuwa tz), james kakuma (trade,zambia), akaja katomba (health, ghana), nalia namboo (sheria,botswana) anton chipumbu (finance,mòzambque) wilfred kiboro(nmg, kenya) &KAZAKUKU FIRAFISI (industry,japan)! Mnaweza mka GOOGLE hayo majina kwa wasioamini..!
Kule Moshi nilikutana na mtu anaitwa ...Mboro (sikumbuki vizuri lakini nafikiri alikuwa Mmachame)
kuna dada nilisoma naye anaitwa LIKU MALANGU. not a joke