Majina mengine ni noooooooooooooma tupu

Mi nina rafiki yangu anaitwa Eliamtombeni na dada yake anaitwa Mkatomboka.Very serious and not a joke!!!
 
Kule Moshi nilikutana na mtu anaitwa ...Mboro (sikumbuki vizuri lakini nafikiri alikuwa Mmachame)
 
hahahahhhahahh
class mate wangu ubin wake ni ******
LOL it is not a joke majina mengine balaa!

****** jina lingine la "makalio"
naona Jamii forums iko programmed kutokuandika matusi LOL
 
......hahahahahahaha wamachame bwana kuna jamaa yangu anaitwa "Makende" sasa mimi huwa hadi nashindwa kumwita nafupisha "Make"
 
Jina nimekutana na mtu anaitwa Sicheki, ain't no joke

ni kweli kuna majina yanautata...kama hawa mawaziri hapa africa! David kinembe (alkuwa tz), james kakuma (trade,zambia), akaja katomba (health, ghana), nalia namboo (sheria,botswana) anton chipumbu (finance,mòzambque) wilfred kiboro(nmg, kenya) &KAZAKUKU FIRAFISI (industry,japan)! Mnaweza mka GOOGLE hayo majina kwa wasioamini..!
 
Kuna jamaa nilisoma naye pale Moshi Sec miaka hiyo alikuwa anaitwa Titto Nomboo Chatomba, Mwl wangu naye aliitwa Kalamboo na jamaa naye aliitwa Mboro. Hiyo shule moja bana.
 
Tulikuwa na msaidizi wetu nyumbani anaitwa "Mume Wangu", hakuna aliyekuwa anaweza kumuita jina lake. Khaa, inahusu nini nikamuite mtu Mume Wangu. Miaka kadhaa imepita tangu huyo msaidizi wetu arudi kwao (Tosamaganga, Iringa) lakini mpaka leo imekuwa joke kubwa ya my hub, tukiwa pahali akiulizwa jina (akitaka kufanya utani) husema anaitwa "Mume Wangu".
 
Mwalimu wa darasa wa mwanangu kule Botswana ni Mrs.Mtombeni,nadhani ni mtu wa kutoka Zimbabwe!
 
Back
Top Bottom