sabasita
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 1,501
- 392
pls kabla ujanituhumu na kuniita mwongo tafuta historia kwanza ya eneo husika acha tafsiri za maneno moja moja
ha ha ha ha ha ha ha ha , ile ya kwenda kunywa gongo ndo nzuri, ha ha ha ha
pls kabla ujanituhumu na kuniita mwongo tafuta historia kwanza ya eneo husika acha tafsiri za maneno moja moja
Namuona Kyachakiche naomba atupe maana ya maeneo haya uko Arusha
Ngulelo
Kimandolu
Arusha Mjini
Philips
Ngarenaro
Mbauda
Ngaramtoni
Tengeru
USA River
King'ori
Kikatiti
Sokoni II
Arumeru
Loita
Bangata
Midawe
Ulong'a
Njiro
Sakina
Sing'isi
Matejoo
Unga Limited
Sinoni
na mengineyo
Vipi
1. Kiwalani
2. Bom Bom
3. Vingunguti
4. Kiembembuzi
5. Kigilagila
6. Chang'ombe
7. Yombo
8. Changanyikeni
9. Tandika
10. Dovya
11. Buza
12.Vijibweni
13.Tumbi
Tabata Matumbi; Kanisa la KKKT limekataa kutumia jina hilo, wana msuguano na doyasisi. Eti lina maana za mizimu. na mapepo Matumbi ni Manyani makubwa na inawezekana kuna imani za kichawi haliashirii mema, maendeleo au bahati. Jina la Tabata Ubaya Ubaya bnalo noma!
Vipi
1. Kiwalani
2. Bom Bom
3. Vingunguti
4. Kiembembuzi
5. Kigilagila
6. Chang'ombe
7. Yombo
8. Changanyikeni
9. Tandika
10. Dovya
11. Buza
12.Vijibweni
13.Tumbi
gongo la mboto
mboto ni jina la mtu na alikuwa anauza gongo kwaiyo watu wakawa wanasema nakwenda kunywa gongo la mboto ndo likawa jina mpaka leo
banana
kulikuwa na baa moja ya mchaga mmoja alikuwa kapteni wa ndege za jeshi pale airwing alikwenda moshi akapakia mgomba akaja kupanda pale banana sasa hivi kuna petrostasheni ya gapco kwa sasa
mengineyo
Illboru
Kijenge ya juu
Kijenge mwanama
Njiro nane nane,njiro contena (container)
Massai camp
Sekei
Tegeta Nyatini miaka ya 88-90 kulikuwa na nyati wakifugwa chini ya mti mkubwa ndio pakajulikana Tegeta Nyatini
Tabata Matumbi; Kanisa la KKKT limekataa kutumia jina hilo, wana msuguano na doyasisi. Eti lina maana za mizimu. na mapepo Matumbi ni Manyani makubwa na inawezekana kuna imani za kichawi haliashirii UPAKO, mema, maendeleo au bahati. Jina la Tabata Ubaya Ubaya bnalo noma!