Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
Afrika sana : Kuna yule mama anayeuza vitenge al maaruf kama Africa Sana
Sinza Mori: Kuna baa inayoitwa Mori
Sinza kwa Remmy: Alikuwa anakaa Remmy Ongala
Sinza Palestina: Kuna hospitali ya wapalestina sasa hivi ni ya Kata
Mwenge: Kikosi cha sanaa na JWTZ
Salasala: Ni kama ilivyo kwa Ilala
Bunju: Kulikuwa na soko la samaki, wengi walikuwa ni samaki aina ya Bunju
Goig : Getting Old Is Growing ni makao makuu ya NGO ya wazee
Makonde: Kulikuwa na uwanja wa Wamakonde wakicheza ngoma pale
Jogoo: Kiwanda cha sembe chapa Jogoo
Mabibo: Maarufu kwa Matunda ya Mikorosho (Mabibo)
Oysterbay: Oyster ni aina ya shells za baharini, zilikuwa zinapatikana kwa wingi
Shekilango: Mzee maarufu alikuwa anaitwa Shekilango
Ilala: Kutokana na Makaburi ya Kiislam, wakienda zika wanasema La Ila Illah
Ilala Boma: Ofisi ya mkuu wa wilaya Ilala, Bomani
Makumbusho: Kijiji cha Makumbusho
Victoria: Kulikuwa na Jengo linaitwa Victoria House
Mikocheni: Ni aina ya mimea inayoitwa Mikoche ilikuwa mingi
Samaki wabichi: Mzee Choggo alikuwa anauza samaki wa maji baridi - samaki wabichi
Tangi Bovu: Kulikuwa na tangi la maji la chuma lililoharibika kwa kutu
Kariakoo: Ilikuwa kambi ya wapagazi, carrier corps.
Sinza Mori: Kuna baa inayoitwa Mori
Sinza kwa Remmy: Alikuwa anakaa Remmy Ongala
Sinza Palestina: Kuna hospitali ya wapalestina sasa hivi ni ya Kata
Mwenge: Kikosi cha sanaa na JWTZ
Salasala: Ni kama ilivyo kwa Ilala
Bunju: Kulikuwa na soko la samaki, wengi walikuwa ni samaki aina ya Bunju
Goig : Getting Old Is Growing ni makao makuu ya NGO ya wazee
Makonde: Kulikuwa na uwanja wa Wamakonde wakicheza ngoma pale
Jogoo: Kiwanda cha sembe chapa Jogoo
Mabibo: Maarufu kwa Matunda ya Mikorosho (Mabibo)
Oysterbay: Oyster ni aina ya shells za baharini, zilikuwa zinapatikana kwa wingi
Shekilango: Mzee maarufu alikuwa anaitwa Shekilango
Ilala: Kutokana na Makaburi ya Kiislam, wakienda zika wanasema La Ila Illah
Ilala Boma: Ofisi ya mkuu wa wilaya Ilala, Bomani
Makumbusho: Kijiji cha Makumbusho
Victoria: Kulikuwa na Jengo linaitwa Victoria House
Mikocheni: Ni aina ya mimea inayoitwa Mikoche ilikuwa mingi
Samaki wabichi: Mzee Choggo alikuwa anauza samaki wa maji baridi - samaki wabichi
Tangi Bovu: Kulikuwa na tangi la maji la chuma lililoharibika kwa kutu
Kariakoo: Ilikuwa kambi ya wapagazi, carrier corps.