Kwanini maeneo haya yalipewa majina ya hivi?

Shinyanga

Hiki kilikuwa ni kituo cha wafanya biashara na wasafiri mbali mbali wa kipindi kile, sasa walikuwa wakisafiri wanasema tutaenda pumzika se-i-nya-nga. Wakiwa na maana ya sehemu nyenye mti wa inyanga,wasukuma hapo wataelewa, inyanga ni mti unao tambulika sana sehem za kanda ya ziwa, sasa shinyanga palikuwa na mti huo mkubwa kweli kweli na watu hupumzika pale wakiwa katika safari zao. Mkoloni alipokuja badala ya kuita seinyanga akawa anasema shinyanga, iikawa hadi leo.ila jina halisi lilitokana na kituo hicho cha wafanya biashara,kilicho itwa seinyanga.
 
Keko Magurumbasi
Magomeni
Afrika sana
Sinza Mori
Sinza kwa Remmy
Sinza Palestina
Mwenge
Mbezi Louis
Africana
Kijitonyama
Ubungo Kibangu
Ubungo Maziwa
Manzese
Tandale
Temeke
Kunduchi
Kimanzichana
Mbagala
Salasala
Kibamba
Kibamba Magarisaba
Kibaha
Buguruni
Kinondoni
Madale
Bunju
Boko
Tegeta
Goig
Makonde
Jogoo
Mabibo
Masaki
Oysterbay
Gongo la mboto
Ukonga
Kipawa
Chanika
Kigamboni
Mwanakwerekwe
Mkunazini
Mbagala Charambe
Shekilango
Sinza Mugabe
Sinza Mapambano

Changombe
Ilala
Ilala Boma
Kurasini
Makumbusho
Victoria
Mikocheni
..na maeneo mengineyo wenye kujua maana yake waweke hapa tuelimike na kujua maana ya sehemu tunazoishi
Sasa unauliza kila kitu, vingine ungetumia akili tu.
Mfano: Ubungo maziwa...kulikuwa na kiwanda cha maziwa., Sinza Afrika sana...kuna Kampuni inaitwa Afrikasana na Rasta mmoja aitwaye Sawe anauza nguo za kuasili, Africana...hoteli ya kitalii ilikuwa inaitwa kwa jina Hilo kule Kunduchi.
Yapo mengine yanaitwa kulingana na kibao au alama inayokuwepo wakati fulani.
Mfano: Tangi bovu...kulikuwa na tenki la maji bovu limetoboka maeneo ya Mbezi ambalo siku hizi halipo.
Baridi...Pale barabara ya Bibititi kulikuwa na kibao cha tangazo la sigara baridi n.k.nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kulikuwa na sanamu pia ya picha ya ndege barabarani kabisa cjui kama bado ipo hiyo bar itakuwa iliikuta hiyo picha kwani ni mwanzalishi wa eneo hili ndo aliwekaga
Picha bado ipo mkuu mwanzoni ilikuwa sanamu ya picha ya ndege ya mbao miaka ya 2000 eneo lile alipanunua mtu mmoja mchaga anaitwa LEKASHINGO aka mbwa haruki akajenga bar nzuri na ile picha ikawa ya bati
 
gongo la mboto

mboto ni jina la mtu na alikuwa anauza gongo kwaiyo watu wakawa wanasema nakwenda kunywa gongo la mboto ndo likawa jina mpaka leo
Ninasema'ivii?
Kama serikali ililitambua jina hilo la pombe haramu na kulibatiza eneo la wakaazi ya watu, basi kuanzia leo gongo itambuliwe na wanyaji wake wasibughudhiwe.
 
Back
Top Bottom