Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,267
Bahati Mbaya zaidi badala ya kujadili mada iliyopo mnaanza Kujadili Majina ya wazungu na Waarabu Ukienda ukienda ukienda uarabuni ni kitu cha kawaida kumuona Hamis amevaa kanzu na Kibaragjashia akielekea kanisani Sisi waafrika/watanzania majina yetu ni Masanja, Ngolo n.k haya ya Hamis au Peter haya yote yalikuja kwa meli tu tuko vijijini huku tunakaa na kina John hata kanisa hawalijui kuna Kina Hamis hata mlango wa msikiti hawaujui. Turudi kwenye sula la msingi tuachane na haya majina ya kizungu na kiarabu