Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
ni kauli ya msajili wa vyama alipokuwa akihojiwa TBC mda mchache uliopita kuhusiana na uchaguzi wa igunga alipokuwa akitoa maoni yake kuuhusiana na kesi za uchaguzi zilizoko mahakamani,matumaini yangu ni kuwa kwa lema,mbowe,wenje,highness,mr two nk yapo kwenye list ya kukombolewa kutoka kwa magwanda!