MWANASHERIA
Member
- Aug 20, 2010
- 84
- 11
Nilikua natafakari hapa Mwenyewe, nikaona niwashirikishe. Eti kwa mtazamo wangu nahisi, kwa muungano huu wa UKAWA, majimbo yote ya uchaguzi yanaweza kupata wabunge wa Upinzani mwaka 2015. Wadau mnaonaje kwa kuangalia wabunge hawa walioko kwenye majimbo sasa hivi, au in case vyama vyao vikawabadirisha?
Ubungo | John Mnyika |
Segerea | Makongoro Mahanga |
Temeke | Abbas Mtemvu |
Kawe | Halima Mdee |
Kinondoni | Idd Azan |
Ilala | Musa Azan Zungu |
Kigamboni | Faustine Ndungulile |
Ukonga | Eugne Mwaiposa |