Majimbo yenye Wabunge Wahindi/Waarabu

Status
Not open for further replies.

Ehud

JF-Expert Member
Feb 12, 2008
2,685
337
Wana JF naomba kuuliza hivi Majimbo yanayochagua wabunge ambao ni Wahindi au Waarabu kama Singida mjini,Igunga au Ilala huwa hakuna Watanganyika wenye sifa za kugombea au huwa inakuwaje? Naomba nisionekane mbaguzi ila nauliza tu maana najua ni vigumu sana kwa Mndengereko wa Rufiji au Msafwa wa Mbarali kuwa Mbunge Mumbai au Qum.
 
Hao pia wana sifa na ndio maana wananchi wa hayo maeneo uliyoyataja wamewachagua. Watanzania hatuna ubaguzi wa rangi. Nchi kama India au Uarabuni **** uliyosema bado ubaguzi wa rangi upo ndo maana itakuwa ngumu kwa mweusi kukubalika.
 
Wana JF naomba kuuliza hivi Majimbo yanayochagua wabunge ambao ni Wahindi au Waarabu kama Singida mjini,Igunga au Ilala huwa hakuna Watanganyika wenye sifa za kugombea au huwa inakuwaje? Naomba nisionekane mbaguzi ila nauliza tu maana najua ni vigumu sana kwa Mndengereko wa Rufiji au Msafwa wa Mbarali kuwa Mbunge Mumbai au Qum.

öndoa akili zako za kibaguzi hapa. Hapa tz hakuna mbunge mhindi wala mwarabu, wote ni wa tz. Umeanza na rangi baadae utatuuliza: kwanini majimbo ya dar mnawachagua wabunge wachaga na wapare, hivi inawezekana mndengereko ama mzaramo kuwa wabunge ktk mkoa wa kilimanjaro?......
 
Huo ni ukomavu wa kisiasa,kifikra na kiubinadamu,kumuona binadamu yoyote ni sawa ili mradi akidhi vigezo vilivyowekwa.Mbona US wameweza kwa mara ya kwanza kuwa na rais mwsahili, pia kuna nchi moja ya katika Jumuiya ya Ulaya kwa mara ya kwanza wamemchagua mswahili mwenye asili ya Ghana kuwa mayor katika moja ya miji mikubwa.
 
nao ni raia wa tanzania,ni kama vile obama na marekani,ni mkenya mwenye uraia wa marekani hivyo hakuna tabu ni sawa na sisi tulio nje sasa huwezi juwa tunaweza tukapata nafasi za kuongoza ingawaje ni watz,hivyo mkuu hao ni watz na wanasifaaaaa

mapinduziiiii daimaaaaaaaa
 
ukienda kwao utapata hiyo nafasi? kuna hoja hapa maana huwa wala hawachangii chochote bungeni...Shabib ndio huwa naona anaongea walao kidogo
 
ukienda kwao utapata hiyo nafasi? kuna hoja hapa maana huwa wala hawachangii chochote bungeni...Shabib ndio huwa naona anaongea walao kidogo

Thubutu!!
Hupewi hata ukatibu tarafa.
Si ni sisi tu ndio tunajipendekeza!!
 
THAI PEOPLE EATING A BLACK MAN."
I have never seen anything like this before! The Asian appetite for "exotic" taste sometimes scares me - from stories of cat eating to dogs, to lizard, snakes to all sorts of crazy fish, then human embryos and now to fully grown humans! The photo of the person you are about to watch could have been somebody's fiance, husband or Dad! This looks too real to be true.
How I wish all black leaders watch these photos and give guidelines of who they allow to migrate into their countries. The time has come for black (Africans, American, West Indies etc) to rise and unite together against attrocities committed by foreigners on them either on their soil or abroad. Time to pray to God is now! (hiyo ni mail niliyopokea kutoka kwa activist mmoja na picha zinazotisha za wathai wakimchuna na kumla mtu mweusi)

Tahadhari: Sidhamirii kuansha hisia za kibaguzi lakini ningependa tufahamu hili( kama sio photoshopping)
:redfaces:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom