Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Mkuu wa MKoa wa Dar-Es-Salaam wa enzi zile aitwaye Chipungahelo au "Mama Chips" aliwahi kusema kwa kutamba.........."where Dar goes the nation goes......"
Kwa majigambo hayo hayo ni dhahiri Chadema imeshinda majimbo matano ya Dar na CCM kuambulia mawili tu..........
Katika hali hii JK anawezaje kutangazwa kuwa Raisi kama siyo uchakachuaji ulipo huko mikoani ukisimamiwa na kuratibiwa kwa ukaribu na wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo ambao wameahidiwa vyeo serikalini au halmashauri zenye neema?
Dar haki imetendeka kwa vile wajanja ni wengi na wameweza kufuatilia kwa karibu na kukwamisha zoezi chafu la CCM la kuchakachua matokeo lakini mikoani ni baadhi ya maeneo ya mijini Chadema imeweza kufanikisha hilo zoezi..............
Kwa majigambo hayo hayo ni dhahiri Chadema imeshinda majimbo matano ya Dar na CCM kuambulia mawili tu..........
Katika hali hii JK anawezaje kutangazwa kuwa Raisi kama siyo uchakachuaji ulipo huko mikoani ukisimamiwa na kuratibiwa kwa ukaribu na wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo ambao wameahidiwa vyeo serikalini au halmashauri zenye neema?
Dar haki imetendeka kwa vile wajanja ni wengi na wameweza kufuatilia kwa karibu na kukwamisha zoezi chafu la CCM la kuchakachua matokeo lakini mikoani ni baadhi ya maeneo ya mijini Chadema imeweza kufanikisha hilo zoezi..............