kilght
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 634
- 181
Ilikuwa anawaomba wabunge wa CCM kuwaboreshea maisha wapiga kura wao hasa waishio vijijini kuwa kuna wengine tangu kuzaliwa kwao hawafaham umeme.
Hii khali ni tofauti kwa upande wa CHADEMA majimbo yao yote wanayoyaongoza kuna unafuu wa maisha wanainchi wao wana umeme maji barabara nzuri nk.
Maneno haya yamesemwa na Silinde mbunge wa Mbozi.
Hii khali ni tofauti kwa upande wa CHADEMA majimbo yao yote wanayoyaongoza kuna unafuu wa maisha wanainchi wao wana umeme maji barabara nzuri nk.
Maneno haya yamesemwa na Silinde mbunge wa Mbozi.