johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,804
Atagombea kupitia CCM!Aachane na ubunge tu
Atagombea kupitia CCM!Aachane na ubunge tu
Kwa hiyo yakienda CCM ,yatageuka kuwa ulaya?Mbona Zanzibar CCM wanaongoza peke yao,je matatizo ya Wazanzibar yameisha? je Zanzibar imekuwa kama ulaya? Natamani baada ya uchaguzi mwaka huu asiwepo hata mbunge mmoja wa upinzani,ili watanzania wajionee wenyewe kwa vitendo na macho yao,ili asiwepo hata mmoja wapo wa kumsingizia mwenzie ,ina hatimae Tz iwe kama ulaya.
Soma uelewe viwanda umeviona wapi?Ghafla vitaongezeka viwanda 20,000 kila kata mkuu.
Soma uelewe viwanda umeviona wapi?
Kule sumbawanga kuna mama alijitokeza kuomba kwa rais wapate maji lkn kwa kuwa mbunge alikuwa upinzani rais akamwambia siku nyingine mtumie akili.Huna la kujibu hapa
Viwanda vipo vya kutosha
Kwanini Misungwi? Huko hakuna wasukuma wenye sifa za kugombea?J J Mnyika atagombea Misungwi!
Uwe unatumia kichwa Chako kufikili hivi ulijua kuwa mimi ndio niliuliza .nachukiwa na mkeo nini ?Ila ww Jamaa inaonekana humu Jf hukubaliki hadi unetumiwa kua mfano kwenye ule mfano Waku ignore/block watu humu Jf , ngoja na mm nikakufanye mfano
Leo mnaleta ishu ya majukumu ya mbunge. Zamani mlikuja mkiwa na moto kumbe hamnahamna.Ukweli ni kuwa rudi hapa 2026 (baada ya jimbo kwenda CCM) na utalalamikia mambo haya haya. Niko kwenye jimbo ambalo halikuwahi kwenda upinzani, na sijaona hali ikibadilika.
Ni wazi hujui majukumu ya mbunge vs serikali! Ukishayajua utaona Serikali ndio ina majukumu na mambo unayolalamikia. Wewe unailipa kodi serikali!!!
Pole mkuu maana raia wengi walikua wanashadadia ule mfano ubadilike kutoka kwenye mfano hadi kua halisi pamoja na mwenzako Bia yetu sasa unadhani kwa picha hiyo kuna nn tena.Uwe unatumia kichwa Chako kufikili hivi ulijua kuwa mimi ndio niliuliza .nachukiwa na mkeo nini ?
Elimu inakupa shida kuitafuta
Najua bavicha wengi wanamatope vichwani kama wewe hata mfano wanaona ishu, mimi ndie nilimuuliza max ishu ya ignore maana kunawapuuzi kama wewe nikupiga ignore tupole mkuu maana raia wengi walikua wanashadadia ule mfano ubadilike kutoka kwenye mfano hadi kua halisi pamoja na mwenzako Bia yetu sasa unadhani kwa picha hiyo kuna nn tena
Me nimeshakuwahi kitamboNajua bavicha wengi wanamatope vichwani kama wewe hata mfano wanaona ishu, mimi ndie nilimuuliza max ishu ya ignore maana kunawapuuzi kama wewe nikupiga ignore tu