samahan wana JF mimi sio mwanasheria na hata mwanasiasa....
(nikikosea nikosoeni nitafurahi, nina diploma ya ualimu na digrii ya uhsibu na fedha)
Kuna majimbo kadhaa ambapo hadi leo hakuna muelekeo wa kisiasa baada ya NEC kuchakachua kura wazwaz wakapewa CCM!
HADI LEO hali ni mbaya kwani waliotangazwa kushinda hawawezi hata kukanyaga majimboni mwao.
Jimbo la TANDAHIMBA, mkoani Mtwara, wananchi wamechukia vibaya na nimetoka jana huko. Nimepata tetes kuwa kama serikali haitaweza kutengua wako tayari kumuua mshindi ili uchaguzi urudiwe!
Mbaya zaidi kilichowachukiza ni kitendo cha police kumvamia mgombea aliyekashinda wa CUF na kumvunja mbavu, mkono na mguu! Hali yake ni mbaya na alikuwa Muhimbili karuhusiwa juzi.
Vyombo vya Usalama vilipga marufuku vyombo vya habari kuandika kuhusu kukithri mauaji, kuchomwa nyumba moto, magari kuharibiwa n.k.
MY TAKE!
Nauliza kwani NEC haiwezi kubatilisha uchaguzi wa jimbo la uchaguzi na kupigwa tena...?
Nawasilisha.
(nikikosea nikosoeni nitafurahi, nina diploma ya ualimu na digrii ya uhsibu na fedha)
Kuna majimbo kadhaa ambapo hadi leo hakuna muelekeo wa kisiasa baada ya NEC kuchakachua kura wazwaz wakapewa CCM!
HADI LEO hali ni mbaya kwani waliotangazwa kushinda hawawezi hata kukanyaga majimboni mwao.
Jimbo la TANDAHIMBA, mkoani Mtwara, wananchi wamechukia vibaya na nimetoka jana huko. Nimepata tetes kuwa kama serikali haitaweza kutengua wako tayari kumuua mshindi ili uchaguzi urudiwe!
Mbaya zaidi kilichowachukiza ni kitendo cha police kumvamia mgombea aliyekashinda wa CUF na kumvunja mbavu, mkono na mguu! Hali yake ni mbaya na alikuwa Muhimbili karuhusiwa juzi.
Vyombo vya Usalama vilipga marufuku vyombo vya habari kuandika kuhusu kukithri mauaji, kuchomwa nyumba moto, magari kuharibiwa n.k.
MY TAKE!
Nauliza kwani NEC haiwezi kubatilisha uchaguzi wa jimbo la uchaguzi na kupigwa tena...?
Nawasilisha.