Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Tumekuzoeaalinacha
Tumekuzoeaalinacha
Moshi mjini kwa mzee ndesa pesa umeliacha wapi?
Uchambuzi ambao sio wa kuvutia kamba kwako kama huu ndio unatakiwa hapa.Haya mambo ya watu kuongeza chumvi baada ya tarehe 31 oct watapiga ukunga hapa.Ukweli unauma lakini ni vizuri kuelewa ili watu waweze kuongeza bidii.Fuatilia siasa za kule Kigoma kaskazini utagundua nafasi yake. Kuna mambo kadhaa yamemuharibia ikiwemo kuwa nje ya jimbo kwa muda mrefu, kuonyesha nia ya kugombea majimbo mengiine na nguvu ya wagombea wa vyama vingine vya upinzani.
Sina shaka na kiti cha Hai kwa Mbowe lakini tarime yule jamaa aliyehama kutoka Chadema atakuwa na athari mbaya.
Huyo Mtema akikaa na upinzani wa kwenye Keyboard (JF) ubunge atausikia redioni.
Unakumbuka Lyatonga alivyoshinda ubunge Temeke, ilikuwa hakuna kulala wala longo longo kwenye vyombo vya habari. Ni nyumba kwa nyumba, kijiwe kwa kijiwe kila siku. Ni kwa staili hiyo ndio unaweza kuishinda CCM.
Nautakia kila la heri upinzani lakini inabidi watu wafahamishwe uhalisia ulivyo huko majimboni na kama hilo wengine hampendi kulisikia, tuvumiliane.
Ndg wan JF,
Kulingana na tathimini ya mwenendo mzima wa kampeni za uchaguzi kwa takribani siku 40, wapiga kura wameonyesha dhahiri kuwa CHADEMA itashinda katika majimbo yafuatayo; Hizi sio hisia zangu bali ni hali halisi ya upepo wa kisiasa katika majimbo yafuatayo.
1. Kiteto
2. Karatu
3. Bukombe
4. Iringa mjini
5. Ubungo
6. Kawe
7. Vunjo
8. Kigoma Mjini
9. Kigoma Kaskazini
10. Maswa Mashariki
11. Nyamagana
12. Hai
13. Busanda
14. Mbulu
15. Tarime
16. Arusha Mjini
17. Meatu
18. Ngorongoro
19. Kibaha
20. Singida (jimbo la Tundu Lissu)
21. Bukoba mjini
Ushauri wangu kwa team ya kampeni ya CHADEMA iweke mikakati dhabiti ya kulinda kura katika majimbo haya kwa gharama yoyote maana CCM wanajua hilo na mkizembea sauti ya wananchi itapokonywa na CCM kwa kuiba kura.
Pia Dr. Slaa kama itawezekana apite tena kwa awamu ya pili katika majimbo haya KUKAZIA HUKUMU YA WANANCHI dhidi ya CCM.
Kama kuna watu wamefanya tathimini katika maeneo mengine wanaweza kuongeza katika list hii.
Ningeshauri tutoe tathimini kulingana na hali halisi ya kisiasa katika maeneo husika badala ya ushabiki.
Haya si ndio mambo ambayo Kaimu Mkurugenzi wa Daily News, Nd. Mkumbwa aliandika kuhusu matokeo ya urais akashutumiwa na kila mpenda demokrasia nchini? Hatujafika tarehe 31 October tayari Fanfa anatangaza matokeo ya uchaguzi majimboni. Let us be realistic.
Kweli mkuu hili jimbo kalisahau hali ya CCM kule Mbeya ni ya kukatisha tamaa maana Chadema wanakunywa mpaka uji wa mgonjwa
Haya si ndio mambo ambayo Kaimu Mkurugenzi wa Daily News, Nd. Mkumbwa aliandika kuhusu matokeo ya urais akashutumiwa na kila mpenda demokrasia nchini? Hatujafika tarehe 31 October tayari Fanfa anatangaza matokeo ya uchaguzi majimboni. Let us be realistic.
hapo kwenye red aisee sijaona upinzani zaidi ya sisiem kwa kweli, bado upinza hauna kasi kama sehemu nyingine wakuujimbo la chalinze,bagamoyo,muheza,handeni, monduli,bagamoyo,lushoto,mwanga, same mashariki&magharibi,chamwino,dodoma mjini,simanjiro,rungwe mashariki&magharibi,kyela aaaaaaahhh jamani mbona yapo mengi mmeshindwa kuyataja?
na hii ni kwa mujibu wa utafiti makini wa SYNOVATE..
CHADEMA HOYYYY........EEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Ndg wan JF,
Kulingana na tathimini ya mwenendo mzima wa kampeni za uchaguzi kwa takribani siku 40, wapiga kura wameonyesha dhahiri kuwa CHADEMA itashinda katika majimbo yafuatayo; Hizi sio hisia zangu bali ni hali halisi ya upepo wa kisiasa katika majimbo yafuatayo.
1. Kiteto
2. Karatu
3. Bukombe
4. Iringa mjini
5. Ubungo
6. Kawe
7. Vunjo
8. Kigoma Mjini
9. Kigoma Kaskazini
10. Maswa Mashariki
11. Nyamagana
12. Hai
13. Busanda
14. Mbulu
15. Tarime
16. Arusha Mjini
17. Meatu
18. Ngorongoro
19. Kibaha
20. Singida (jimbo la Tundu Lissu)
21. Bukoba mjini
Ushauri wangu kwa team ya kampeni ya CHADEMA iweke mikakati dhabiti ya kulinda kura katika majimbo haya kwa gharama yoyote maana CCM wanajua hilo na mkizembea sauti ya wananchi itapokonywa na CCM kwa kuiba kura.
Pia Dr. Slaa kama itawezekana apite tena kwa awamu ya pili katika majimbo haya KUKAZIA HUKUMU YA WANANCHI dhidi ya CCM.
Kama kuna watu wamefanya tathimini katika maeneo mengine wanaweza kuongeza katika list hii.
Ningeshauri tutoe tathimini kulingana na hali halisi ya kisiasa katika maeneo husika badala ya ushabiki.
Niko mlandizi naelekea Mbeya, Riport kamili ya majimbo ya Mbeya mjini,Vijijini,Rungwe Mashariiki,Kyera ntawapa bila kuchakachu! Leo ntakutana na Mr 2!Kweli mkuu hili jimbo kalisahau hali ya CCM kule Mbeya ni ya kukatisha tamaa maana Chadema wanakunywa mpaka uji wa mgonjwa
Zitto harudi bungeni