Majimaji ukeni, wakati wa tendo hadi nalowa duh!

Hiyo hali wengine ndo tuna njaa nayo maana hakuna tena gharama ya Lubricants. upande wangu sioni shida kama kadri mnapodu maji yanaongezeka. Kwa wengine ni kinyume chake, the more u do the more u need Lubrication.
 
Mpeleke kwa dactari wa matatizo ya wanawake atakusaidia vizuri sana! As long as unampenda huna haja ya kufanya maamuzi magumu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mwana uwe unavaa condom then unafunga plaster kwa juu itakusaidia sana kukausha hayo maji. Pole sana
 
dah pole ndugu yetu,,, hapo cha msingi mwambie kila aendapo kuoga awe anakamulia ndimu kule maeneo baada ya mda kitu kitakuwa mnato mwanzo mwisho
 
Piga Kateter........... mm naomba tukutane jukwaa la MK mbona mada hizo zinajibiwa na wataalamu wengi tu, hebu ipeleke huko utajakuna BAN
 
Jaribu kumdodosa Je ni dawa gani ya uzazi wa mpango anatumia. Sababu kuna baadhi ya dawa za uzazi wampango hupelekea hiyo hali.
 
mwenye maji mengi hata ukitumia condom ni kujisumbua tu kama unatoka umelowa hadi kwenye stomach.
Piga chini.

ushauri mwingine jamani. Sasa mwanamke wa namna hii ina maana hana haki ya kupendwa au?
 
Duh kweli kwenye miti hakuna wajenzi!!!
Hebu ni PM nikusaidie hiyo mambo kama una taka kuipiga chini!
 
mimi sioni kama ni tatizo!
cha msingi ni ninyi kuwa wasafi wakati wakurukiana...
ila maji yanahusika sana wakati wa kujamiiana!
 
mimi sioni kama ni tatizo!
cha msingi ni ninyi kuwa wasafi wakati wakurukiana...
ila maji yanahusika sana wakati wa kujamiiana!
Mkuu inaelekea hujawahi kukutana na mfaraji wa Suez wewe! Hatari sana ile makitu!
 
Wajameni mwenzenu huyu mama enu mdogo kusema kweli nampenda sana,wakati tulipokua tunaanza mwaka jana mwezi kama huu nilikua natamani mda wote nile raha tu.
Ila ana tatizo la kutoa majimaji ya daah... Kwa uzoefu wangu unapozidi kula tunda hasa kama umevaa helimeti maji yanakauka haraka sana. Lakini hapa ni tofauti,unapozidi kula ndo hayakauki hadi mwisho

Naombeni ushauri na msaada hasa akina mama mnipe uzoefu wenu,maana karibia nafanya maamuzi magumu hali ikiendelea kuwa tete.

ukiweka chumvi yatakauka tu , yatakuwa yana move by osmosis from high concentration to low concentration jaribu ila asijue manake itakuwa ligi
 
Nanini ka kwambia maambukizi yanatokea mpaka pawe na michubuko?
.hayo maji ya uke yanabeba v.v.u
.ute wa uume nao unabeba v.v.u
.Damu
.Maziwa ya mama

punguza jazba. hapo mumuone daktari. mambo ya kubadili wanawake sio ishu. komaa nae mzee ndo maisha. pa1
 
Back
Top Bottom