M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Ni kweli....lakini kwa mchanganuo ufuataoTatizo la Dar ni udini...
1) UDINI = unachangia tatizo kwa 45%
2) USWAHILI (unaoshabihiana kidogo kwa tabia na (1) hapo juu) = unachangia tatizo kwa 30%
3) MASLAHI (wafanyabiashara wakubwa - wengine mnawaita wahindi, etc) = yanachangia tatizo kwa 15%
4) MASLAHI (middle class ambao wameridhika na ku-possess vijigari, vijijumba, etc) = yanachangia tatizo kwa 10%