Giningi01
Senior Member
- Nov 19, 2020
- 186
- 180
Haters as usualMbeya itoe kwenye hiyo orodha,haipo
Haters as usualMbeya itoe kwenye hiyo orodha,haipo
Huyu kajaa chuki asikusumbueSidhani Kama huyu mtu alishawahi kufika mwanza.
Tz tuna majiji mawili tu.
Dar na mwanza. Pengine ni munispality zilizochangamka
Shida ya jiji la mbeya halipendezi katikati ya mjini nyumba zimejengwa Kwa tofali mbichi halafu hazijapigwa plasta. Katika miji mingi niliyotembea Tanzania mbeya ndio jiji pekee tatikati ya mji nyumba zimejengwa Kwa topeHii hapa ni orodha ya Miji mizuri Tanzania.
1-Dar es Salaam (Mzizima)
Eneo la mkoa ni jiji la Dar es Salaam ambalo ndilo kitovu cha shughuli za biashara (na za utawala, kwa kiasi fulani) nchini Tanzania, na ni kati ya majiji yanayokua haraka zaidi duniani.
Ni km² 1,800 pamoja na visiwa vidogo 8 na eneo la bahari kati ya pwani na visiwa hivi. Eneo la nchi kavu pekee ni km² 1,393.
Kuna wilaya tano: Kinondoni (wakazi 1,775,049), Ilala (wakazi 1,220,611) na Temeke (wakazi 1,368,881) ambazo zimeongezewa Kigamboni na Ubungo. Kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2012, kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa 4,364,541.
Wakazi asili wa eneo la mkoa walikuwa Wazaramo pamoja na makabila madogo kama vile Wandengereko na Wakwere. Kutokana na kukua na kupanuka kwa jiji kuna makabila yote ya Tanzania.
2-Mwanza (Rocky city)
Jiji la Mwanza ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mwanza. Mji upo kando la ziwa Viktoria Nyanza Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 378,327 (ukijumlisha wakazi wa Wilaya ya Nyamagana na sehemu za Wilaya ya Ilemela).
3-Arusha (A city)
Arusha ni jiji la kaskazini mwa Tanzania na makao makuu ya Mkoa wa Arusha. Kiutawala eneo la jiji la Arusha ni sawa na eneo la Wilaya ya Arusha Mjini. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 416,442
4-Dodoma (Idodomya)
Ilitangazwa kuwa mji mkuu wa Tanzania mwaka 1973, lakini mnamo tarehe 26 Aprili 2018 katika maadhimisho ya miaka 54 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano John Magufuli aliupandisha hadhi na kutangaza rasmi kuwa Dodoma ni Jiji. Serikali ya awamu ya tano ilihamia rasmi jijini Dodoma mwaka 2016.
Jiji hili pia ni makao makuu ya Mkoa wa Dodoma na eneo lake linahesabiwa kama Wilaya ya Dodoma .
Eneo la mji liko mita 1135 juu ya usawa wa bahari UB. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, mji wa Dodoma ulikuwa na wakazi wapatao 410,956 waishio humo.
5-Mbeya (Green city)
Mbeya ni mji wa nne kwa ukubwa nchini Tanzania. Idadi ya wakazi imehesabiwa kuwa 385,279 katika sensa ya mwaka 2012. Wengine 300,000 hivi wanaishi katika mazingira karibu na Mbeya mjini.
Kiasili Mbeya ilikuwa eneo la Wasafwa. Siku hizi sehemu kubwa ya wakazi wanaweza kuwa mchanganyiko wa Wasafwa pamoja na makabila ya Wanyakyusa kutoka wilaya za Rungwe na Kyela, Wanyiha kutoka Mbozi, Wandali kutoka Ileje na Wakinga kutoka Makete.
Tazama zaidi video ya mandhari ya majiji hayo.
Huyu naye anachekesha kwel na bandari ya tanga dah 😀😀😀Ninachomaanisha,Majiji yenye Bandari za Bahari,Port City,ndio ziwe namba moja.Kwasababu majiji yote yanategemea haya majiji yenye Bandari za Bahari,kukuza uchumi wao,kwa kusafirisha bidhaa na kupokea bidhaa.Kwa mfano mafuta ya magari,yana umuhimu wa kwanza,bila kupitia Bandari za Bahari,ingekuwa shida kubwa,na vile vile kupokea bidhaa na kusafirisha mazao kwenye masoko ya kimataifa ingekuwa tabu.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Tanga ya hovyo imejaa magofu ya mkoloni mpaka Leo Tanga inpitwa na Morogoro au Iringa Kwa UzuriMkuu japo Mbeya ya hovyo ila huwezi linganisha na Tanga
Ngoja wakusikie wenye Moshi yao patachimbika haswaMahenge
Lushoto
Moshi
Musoma
Avic Town
Amesema miji mizuri Tz, hiyo ya nje ni orodha yako wewe.Inaonekana mtoa mada hajawai kusafiri nje ya nchi na kwenda kuona majiji mazuri.
1. Avic Town AVIC TOWN
2. Fumba Town FUMBA TOWN | The Future of Living in Zanzibar
3. Safari City http://www.nhc.co.tz/en/portfolio-items/safari-city-satellite-city-arusha
4. Pongwe Satellite City
5. Mahenge Mwanzo
Kumbe wewe hujui watu wa Mbeya, Iringa, Songea ndio wanaenda Maputo kama wewe unavyopita Chalinze?Kijana tembea uone.
Mini mingi Tanzania ni takataka acha kujifungia huko kyela.
Nenda hata hapo Maputo ukajionee.
Nilichogundua wewe jamaa una chuki kali sana,kama una uwezo wa kujipima pia una ukabila sana,sasa shida umeanzaje kuwashambulia Mbeya kwa ukabila,huu umeanzishwa kama mjadala tu,lakini maneno ni makali mno kuhusu Mbeya tu,wamekukosea nini mzee,hata vigezo vya mji kupandishwa hadhi huvijui kwa vigezo vyako ni makabila,najua utakuwa povu pole sanaView attachment 1817471
Mbeya City
View attachment 1817472
Mount Loleza - Unaosifia eti kivutio
View attachment 1817474
HIzi ndizo mandhari za Mbeya, nitakuja niwwaambie kwa nini Mbeya patabaki na ujima wake ukipewa Ceremonial Title. Watu wa Mbeya noma sana. Hawataki mawazo ya watu wasiokuwa wa kwao kama vile watu wasio wa Mbeya wanavyopata tabu kuwaongoza hawa watu. Ubishi wa kishamba, ubinafsi na ukablia ndiko mahala pake. Maendeleo yanahitaji kuchanganya fahamu na maarifa. Kaeni na mlima loleza wenu eti ndio kivutio cha jiji. Duh!.
Kikwajuni One njoo usome hapa wanasema wananzego.Numbers dont lie
View attachment 1818910
Duh!! Mzee vipi tena?Hivi tukiweka uhalisia dar inaizidi nini Arusha?
Very childish mindSio kweli,Mombasa kuwa na Bandari,imeiacha nyuma sana Nairobi,Nairobi haiwezi kujiendesha bila kutegemea Mombasa,kwa mafuta ya magari,mafuta ya mitambo,kusafirisha bidhaa,kupokea bidhaa nk
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Kusikia Arusha eti inalinganishwa na Dar! Nikasema mzee labda alikuwa amelalaMpaka na wewe umeshangaa
Achana nao, hawajui maanaa ya neno uzuriBujibuji mbona watu wanaibeza mbeya yetu
Kwa muktadha huo Tanga imeendelea kuliko Arusha na Dodoma?Bandari,inaizidi Arusha,Port City,ndio mafuta ya magari na ya mitambo,na Bidhaa kutoka nje,zinashuka hapo Port City.Arusha na majiji yasio na Bandari,lazima yazidiwe na majiji yenye Bandari(Port City).
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Tanga na Mtwara kuna bandari almaarufu port city sasa kuna nini cha maana hapo?We jamaa naona umekazania port city,kwani kati ya Nairobi na Mombasa lipi ni jiji kubwa!!! Mbona Nairobi ambayo sio port city imeiacha mbali Mombasa!! Sijakuelewa kabisa
Mwanza hamna kitu ,hata nisingefika picha tuu za Arusha na Mwanza mara 200 ArushaSidhani Kama huyu mtu alishawahi kufika mwanza.
Tz tuna majiji mawili tu.
Dar na mwanza. Pengine ni munispality zilizochangamka