Wasukuma bhana sasa pale mwanza kuna nnSidhani Kama huyu mtu alishawahi kufika mwanza.
Tz tuna majiji mawili tu.
Dar na mwanza. Pengine ni munispality zilizochangamka
Wenzako tumefika Hadi nchi za watu wewe unazungumzia Dar au Arusha ??Kama hauko Dom,Dar na Arusha huna cha kuizingua Mbeya.
Mbeya kuna vyuo vikuu na koleji/kampani takribani 10 ,huwezi kuta kwenye kijiji cha Mwanza
Hahaha Yani bomba lianzie Tanga badala ya Uganda inapotoka GesiNawakumbusha Mradi wa Bomba la mafuta umeanza hapa Jiji la tanga maeneo ya chongoleani
Saiz kuanzia Mafiat kwenda meta m ni maghorofa tupu,bado Eneo kuanzia Uyole hadi mwanjelwa along Tanzam highway ni hot kwenye ujenzi
Bado CBD kule kote ni
Pia waambie Mbeya ina university/Collage/Campus karibu 10 hata Mwanza haina vyuo vingi kiasi hicho
Saizi Mbeya haijadili maghorofa bali tunajadili barabara dual carriage