Majigambo ya vijana wa Arusha

Dangote the advocate

Senior Member
Sep 21, 2014
135
153
Katika pitapita zangu yaani sekondari na chuo nimekuja kugundua vijana wa arusha ni watu wa maringo sana na dharau nataka kujua wadau hili linasababishwa na nin
 
Hahaaaaa, unanichekesha sana, KUJIAMINI ndio mpango mzima, kwa nini uwe na hofu? Lazima uringe kwa kuwa unajikubali. Sasa kizazi hiki cha enzi ya chadema ndio hatari maana mtoto mdogo ameshajua nguvu iliyo ndani yake hakuna UOGA wala udhaifu, Arusha ni baraka sana kuzaliwa au kuishi hapa.
 
Hahahhahhaha........ machalii ya chuga acheni kuwatesa hao jamaa zinazotoka mikoa mingine asee... si mnaona wanavyolalamika? But ata hivo mi huaga naona kama ni mtazamo tu wa watu wengine maana kinachowaogopesha hao ni kujiamini kitu ambacho nadhani kila mtu anatakiwa kuwa nacho......

bushland: "Wap kama Arusha?? Chezea chuga wewe, njoo uone watu walivyo cool" na bado watu wanapiga hela hatareeeee
 
sio wana maringo hawataki kuongea maana meno yao wengi yameoza au wamefumbata ugoro mdomoni
MKUU HUJUI KUJENGA HOJA... UKO TOO PERSONAL ZAIDI...jaribu kukaa na kufikiria namna ya kutengeneza hoja yenye mashiko kuliko kuja na hoja za kitoto eti ugoro na kuoza meno kitu ambacho ni 'nonsense', kwa anaejielewa hawezi kuongea utumbo huu
 
Upo sahihi,na tena usiombe chalii wa arusha akajua kua wewe unatokea DSM ataanzisha ushindani usio na tija,kila kitu atataka aweke ushindani..
Ofcoz hili swala lina ukweli ndani yke



Na wanapenda xana fujo lkn hawana nguvu ya kuparangana

Bali wanatumia pis pis na visu


Hahahahahahaaaa

lkn n jiran zangu awaaa
 
Huko siko eti pis pis na visu!sio machete na kwann mabomu yametengewa gara ni kwa pis pis kweli
 
Back
Top Bottom