Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
Kwan account hazija tajwa au Lin nyie mmetoa account za mafisad wa CCM? Au ushaid kua wamepiga pesa au na wao hua mna wazingishia
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia milioni 350 pesa ya ruzuku ya CUF jinsi ilivyoainishwa kuchukuliwa kinyume na sheria NMB na kutajwa AC zote ilizopitia mpaka AC ya mtu binafsi.
Na lijuakali afanye hivyo.