mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Poleni makamanda Mana majibu ya leo huenda ndio sababu ya makamanda kukaa kimia na kuto sambaza yalio ongelewa kwenye kikao
Chadema na mwenyekit friman mbowe walitakiwa waje na majibu ya tuhuma za ubadhilifu wa fedha na Sio kusema kwamba wanao sema mbowe kala hela walete ushaid hii inamaanisha sawa nimechukua Ila je Una ushaid?
Ingekua pesa haija chukuliwa lazima tungepata majibu na maelezo marefu kutoka chadema Ila kuzijibu hoja nzito kias kile kwa majibu myepes Wala haiitaj akili ya mtu mzima kuelewa hata mtoto ndogo Apo anajua what's happening
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema na mwenyekit friman mbowe walitakiwa waje na majibu ya tuhuma za ubadhilifu wa fedha na Sio kusema kwamba wanao sema mbowe kala hela walete ushaid hii inamaanisha sawa nimechukua Ila je Una ushaid?
Ingekua pesa haija chukuliwa lazima tungepata majibu na maelezo marefu kutoka chadema Ila kuzijibu hoja nzito kias kile kwa majibu myepes Wala haiitaj akili ya mtu mzima kuelewa hata mtoto ndogo Apo anajua what's happening
Sent using Jamii Forums mobile app