Majibu ya Zitto baada ya kuulizwa na Mnyika, “I am a leader. Properly groomed. I desist from responding to you”

Mpambano huu wa Zitto kabwe unaletwa kwenu kwa udhamini wa Chama cha Mapinduzi

Chadema pamoja na kudai walimtambua Zitto kuwa ni Mamluki wa Chama cha Mapinduzi tangu 2009 alipochukua fomu kupambana na Mh.Mbowe lakin bado ilipofika 2010 chama chake kilimteua kuwa Mgombea Ubunge Kigoma Kaskazini na aliposhinda uchaguzi wakasema kasaidiwa na Kikwete

Ilipofika chadema wapeleke jina la Mwenywkiti wa kamati ya PAC bado chadema wakapeleka tena jina la Zitto na Spika akalibariki

Huenda Chadema na Zitto wote tajiri yao mmoja
Umeandika hoja fikirishi sana hapa.
 
Kwa kifupi sana, Zitto huwa anajiona ana akili kuliko wengine wote na ana deserve kuabudiwa.

Na hapo ni kiongozi wa TCD tu akipewa uongozi wa nchi si atakuwa dikteta.
Kiukweli Zitto ana akili ukilinganisha na Mnyika
 
What about this!!


Mnyika and Zitto are nicompoop and they both don't deserve the positions they are in. In fact no political party in Tanzania other than ccm which is so credible to to keep this ball rolling especially when it comes to political politics.
You know what? U. R very right! And this was purposely designed ili mtanzania asiyetaka kuwa mwanasiasa abakie zuzu forever!
 
ANNOUNCEMENT BY ZITTO THE TCD CHAIRPERSON.

The National Conference on Justice, Peace and Reconciliation organised by Tanzania Centre for Democracy @TCDemokrasia will be officiated by President @SuluhuSamia on the 30th March 2022. The conference with specific reform agenda will be attended by all parties, CSOs, FBOs etc.
View attachment 2137347

Question from Mnyika to TCD Zitto:
“Why do you proclaim that the conference "will be attended by all parties" while even the invitation letters have not been received by respective parties and consequently confirmations have not been made hitherto?”

Respond from Zitto:
“I am a leader. Properly groomed. I desist from responding to you. However parties which won’t attend are free to do so as it is within their constitutional rights. The invitation is open to all registered political parties, CSOs and religious leaders”.

View attachment 2137029
Sasa hasira za nini chalii angu? Zitto
 
Upinzani gani?
Upinzani wa Ngogwe

20220130_104611.jpg


20220121_201132.jpg
 
Nachokiona hapa, kuna chama kinachoona initiative zozote za kisiasa za upinzani ktk nchi hii zinatakiwa ziasisiwe na wao.

Wakianzisha wengine ni usaliti. Leo wanajifanya kusahau TCD sio chama cha siasa ni mwamvuli wa vyama vya upinzani vyenye usajiri na Zitto kwa sasa ni mwenyekiti.

Wanakereheka kusikia "Peace and Reconciliation" inatamkwa na Zitto wakimuoanisha na ACT Wazarendo, hali kuwa TCD sio ACT. Upinzani wa aina hii unachanganya jamii.

Lei Mnyika hataki ajenda ya Peace and Reconciliation kwa sababu tu ni initiative inayoasisiwa na Zitto wa "ACT Wazarendo".

Uongozi ni kuacha alama inayoonekana, na Zitto anatengeneza alama, ķuwa niliookuwa Kiongozi wa TCD nilifanya nini?
 
Mbona kajibu kama amepaniki! Ni haki ya Mnyika kumhoji sababu logo ya chama chake imehusikana mambo ya TCD.
Nachokiona hapa, kuna chama kinachoona initiative zozote za kisiasa za upinzani ktk nchi hii zinatakiwa ziasisiwe na wao. Wakianzisha wengine ni usaliti. Lep wanajifanya kusahau TCD sio chama cha siasa ni mwamvuli wa vyama vya upinzani vyenye usajiri na Zitto kwa sasa ni mwenyekiti. Wanakereheka kusikia "Peace and Reconciliation" inatamkwa na Zitto wakimuoanisha na ACT Wazarendo, hali kuwa TCD sio ACT. Upinzani wa aina hii unachanganya jamii. Lei Mnyika hataki ajenda ya Peace and Reconciliation kwa sababu tu ni initiative inayoasisiwa na Zitto wa "ACT Wazarendo". Uongozi ni kuacha alama inayoonekana, na Zitto anatengeneza alama, ķuwa niliookuwa Kiongozi wa TCD nilifanya nini?
Fallacy.
 
This guy is losing it big time! He showed incredible potential early on in his political life, bu
I was warned when I tried to put the guy and the late Mzindakaya in the same pot. I was very lucky to listen those who warned me. I am happy.
 
Nachokiona hapa, kuna chama kinachoona initiative zozote za kisiasa za upinzani ktk nchi hii zinatakiwa ziasisiwe na wao. Wakianzisha wengine ni usaliti. Leo wanajifanya kusahau TCD sio chama cha siasa ni mwamvuli wa vyama vya upinzani vyenye usajiri na Zitto kwa sasa ni mwenyekiti. Wanakereheka kusikia "Peace and Reconciliation" inatamkwa na Zitto wakimuoanisha na ACT Wazarendo, hali kuwa TCD sio ACT. Upinzani wa aina hii unachanganya jamii. Lei Mnyika hataki ajenda ya Peace and Reconciliation kwa sababu tu ni initiative inayoasisiwa na Zitto wa "ACT Wazarendo". Uongozi ni kuacha alama inayoonekana, na Zitto anatengeneza alama, ķuwa niliookuwa Kiongozi wa TCD nilifanya nini?
Mku jitahidini kukijenga chama kwani Zitto anajulikana kwa hiyo jitahidini kukijenga chama ili mjionyeshe tofauti ya mnavyoonekana au mnavyozungumziwa ndo afya hoja.

Pia kumbuka kuna kitu mnaita inuatanga kila uchao inakiumiza ACT lazima chama kama kijiulize kwani wanachama wanakihama chama na pindi wanapoongea wanaongea mengi kwa hiyo lifanyieni kazi hili kwani muda mwingi mnamwongelea mpinzani wenu Chadema.

Na ukiangalia siasa zetu ACT kwa bara bado hamjafikia kiwango cha Chadema jengeni chama ili mpate kuwarudisha wanachama wanaokikimbia chama.

Kama mmeamua kukaa kimya juu ya kinachoendelea ndani ya chama au mmeamua kujipa kazi ambayo sio ya ACT kwa Bara ndo maana baada Mbatia kujua alikokosea ameamua kurudi nyuma ili akijenge chama.

Kuna mahali hampo sawa jitahidini mlitambue tatizo liliko ili mjikite kukijenga chama mashambulizi ya hoja jibuni kwa tafakari sio hasira kwani hasira haijawahi kuisaidia tasisi yoyote.

JENGENI CHAMA KWANZA
 
Mku jitahidini kukijenga chama kwani Zitto anajulikana kwa hiyo jitahidini kukijenga chama ili mjionyeshe tofauti ya mnavyoonekana au mnavyozungumziwa ndo afya hoja. Pia kumbuka kuna kitu mnaita inuatanga kila uchao inakiumiza ACT lazima chama kama kijiulize kwani wanachama wanakihama chama na pindi wanapoongea wanaongea mengi kwa hiyo lifanyieni kazi hili kwani muda mwingi mnamwongelea mpinzani wenu Chadema. Na ukiangalia siasa zetu ACT kwa bara bado hamjafikia kiwango cha Chadema jengeni chama ili mpate kuwarudisha wanachama wanaokikimbia chama.
Kama mmeamua kukaa kimya juu ya kinachoendelea ndani ya chama au mmeamua kujipa kazi ambayo sio ya ACT kwa Bara ndo maana baada Mbatia kujua alikokosea ameamua kurudi nyuma ili akijenge chama.
Kuna mahali hampo sawa jitahidini mlitambue tatizo liliko ili mjikite kukijenga chama mashambulizi ya hoja jibuni kwa tafakari sio hasira kwani hasira haijawahi kuisaidia tasisi yoyote.
JENGENI CHAMA KWANZA
Hili ndio Tatizo kwako na wengine. Uzi huu unazungumzia majibu ya Zitto kwa swali la Mnyika. Mnyika ka react kwa Taarifa ya kusanyiko TCD na Rais iliyotolewa na Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Zotto Kabwe.

Mnaihusishaje ACT Wazalendo na Shughuli za Taasisi ambayo Chadema ni member na Zitto kwa sasa ni kiongozi wenu kwa mujibu wa Taratibu za Taasisi?
 
ANNOUNCEMENT BY ZITTO THE TCD CHAIRPERSON.

The National Conference on Justice, Peace and Reconciliation organised by Tanzania Centre for Democracy @TCDemokrasia will be officiated by President @SuluhuSamia on the 30th March 2022. The conference with specific reform agenda will be attended by all parties, CSOs, FBOs etc.
View attachment 2137347

Question from Mnyika to TCD Zitto:
“Why do you proclaim that the conference "will be attended by all parties" while even the invitation letters have not been received by respective parties and consequently confirmations have not been made hitherto?”

Respond from Zitto:
“I am a leader. Properly groomed. I desist from responding to you. However parties which won’t attend are free to do so as it is within their constitutional rights. The invitation is open to all registered political parties, CSOs and religious leaders”.

View attachment 2137029
Huyo vampire was properly groomed by Mbowe same as Mnyika Hawa wote tumefanya nao siasa since University na wakapelekwa ujerumani kusoma Sasa asijifanye amesahau kwamba hiyo grooming ilitoka wapi?

Pia asijisahaulishe kwamba hata Mnyika was properly groomed by the same man who groomed him to the person he is today.

Tatizo waliomgroom wanamjua he is a double agent when it comes to money offers in exchange for information or double-crossing.

Why he always fight chadema wakati anapaswa kukomaa na siasa zake za Zanzibar alikopewa umwinyi kwa mgongo wa Maalum Seif?
 
ANNOUNCEMENT BY ZITTO THE TCD CHAIRPERSON.

The National Conference on Justice, Peace and Reconciliation organised by Tanzania Centre for Democracy @TCDemokrasia will be officiated by President @SuluhuSamia on the 30th March 2022. The conference with specific reform agenda will be attended by all parties, CSOs, FBOs etc.
View attachment 2137347

Question from Mnyika to TCD Zitto:
“Why do you proclaim that the conference "will be attended by all parties" while even the invitation letters have not been received by respective parties and consequently confirmations have not been made hitherto?”

Respond from Zitto:
“I am a leader. Properly groomed. I desist from responding to you. However parties which won’t attend are free to do so as it is within their constitutional rights. The invitation is open to all registered political parties, CSOs and religious leaders”.

View attachment 2137029
ZRZK has always been an egocentric person a mole who does not want to struggle to achieve something but to survive through the challenges facing others. He will never ever make any formidable political move because of his very character of betrayal.

The character of man is difficult to change so does the character of betrayal in ZRZK.
 
Huyo vampire was properly groomed by Mbowe same as Mnyika Hawa wote tumefanya nao siasa since University na wakapelekwa ujerumani kusoma Sasa asijifanye amesahau kwamba hiyo grooming ilitoka wapi?

Pia asijisahaulishe kwamba hata Mnyika was properly groomed by the same man who groomed him to the person he is today.

Tatizo waliomgroom wanamjua he is a double agent when it comes to money offers in exchange for information or double-crossing.

Why he always fight chadema wakati anapaswa kukomaa na siasa zake za Zanzibar alikopewa umwinyi kwa mgongo wa Maalum Seif?
I bet kuna siku Zitto atakuja kulipa anachomfanyia Mbowe na chama kilichomfanya ajulikane.
 
ANNOUNCEMENT BY ZITTO THE TCD CHAIRPERSON.

The National Conference on Justice, Peace and Reconciliation organised by Tanzania Centre for Democracy @TCDemokrasia will be officiated by President @SuluhuSamia on the 30th March 2022. The conference with specific reform agenda will be attended by all parties, CSOs, FBOs etc.
View attachment 2137347

Question from Mnyika to TCD Zitto:
“Why do you proclaim that the conference "will be attended by all parties" while even the invitation letters have not been received by respective parties and consequently confirmations have not been made hitherto?”

Respond from Zitto:
“I am a leader. Properly groomed. I desist from responding to you. However parties which won’t attend are free to do so as it is within their constitutional rights. The invitation is open to all registered political parties, CSOs and religious leaders”.

View attachment 2137029
Mnyika hana akili ya kubishana na Zitto, hata kisomo tu hamfikii.hata hayo maneno kuna uwezekano aliandikiwa tu.
 
Mnyika hana akili ya kubishana na Zitto, hata kisomo tu hamfikii.hata hayo maneno kuna uwezekano aliandikiwa tu.
Siasa haina kisomo broo waangalie kina Bajaji na Musukuma ni STD 7 lkn wako bungeni ni watunga sheria.
 
Back
Top Bottom