MsakaGamba
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 392
- 141
Mtakumbuka kuwa nhc walitoa nafasi mbalimbali za kazi tangu mwezi wa 4 moja wapo za nafasi ikiwa ni zile za call centre supervisor, naza uhasibu.
Naomba kujuzwa vipi kuna watu walishaitwa kwenye usaili au bado? Kama tayari waliitwa lini? Kama bado wanatoa lini majina au wanaita lini watu kwenye usaili?
Nimepigwa chini customer assistance Tra, nimepigwa chini Tanapa, nimepigwa chini bima ya afya sasa napumulia mashine.
Nikipata majibu yenu huenda yakawa faraja ya matumaini kwangu.
Naomba kujuzwa vipi kuna watu walishaitwa kwenye usaili au bado? Kama tayari waliitwa lini? Kama bado wanatoa lini majina au wanaita lini watu kwenye usaili?
Nimepigwa chini customer assistance Tra, nimepigwa chini Tanapa, nimepigwa chini bima ya afya sasa napumulia mashine.
Nikipata majibu yenu huenda yakawa faraja ya matumaini kwangu.