Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Wana mjengo wa JF naomba tutafakari kuhusu majibu ya Bwana Makamba anapoulizwa maswali na waandishi wa habari na kutoa majibu ya mkato au hata kung'aka je ni kutoelewa swali na kukwepa swali, umbumbumbu au ndiyo kama yale matangazo ya haki elimuuu! :A S-baby: