mbari
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 509
- 421
Nimeona ile clip ya Waziri Prof. Makame Mbalawa akijibu maswali ya Rais Dr. Magufuli wilayani Karagwe.
Nimesikitika sana kuona viongozi waliopewa dhamana na kuaminika wamekuwa wakifanya kazi kiuoga sana.Waziri alikuwa anajibu maswali kwa ku-loose tention na kukosea kosea maelezo.
Profesa kajibu maswali kijuu juu sana nahisi kuna kitu hakipo sawa katika hawa viongozi.
Nawakaribisha kutoa maoni.
Nimesikitika sana kuona viongozi waliopewa dhamana na kuaminika wamekuwa wakifanya kazi kiuoga sana.Waziri alikuwa anajibu maswali kwa ku-loose tention na kukosea kosea maelezo.
Profesa kajibu maswali kijuu juu sana nahisi kuna kitu hakipo sawa katika hawa viongozi.
Nawakaribisha kutoa maoni.