Nsumba ntale tz
JF-Expert Member
- Apr 19, 2016
- 713
- 759
Kama kuna sehemu CCM na Magufuli walikosea pakubwa ni hapa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, wananchi waanza kutoa nyongo zao bayana kuhusu wenyekiti walioteuliwa walikilize baadhi ya wanakijiji wakitoa ya moyoni