Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

huyu ni chizi tuu aseme kama mikataba iliyo sainiwa ina halalisha kudanganya kiasi cha madini kilichomo ndani ya mchanga....
Tahira huyu
Husiwe kama "hashiki za kuku".
Muda wote wa miaka takribani 16 mlikuwa wapi kulipigia kelele hilo kabla ya huyo "mchizi kaboka" kudamka kumeisha pambazuka?
Kwahiyo kipindi chote hicho ni nini kiliwaziba midomo na vipumulio vyenu leo ndio mnajidai kujua zaidi clause za mikataba ya wizi?
 
ccm ndo walivyo, hata wanaloshangilia leo hawalijui. Magufuli kwa sasa ndo kipaumbele chao hivyo hata akiamuru lunch iliwe uani wao watashangilia tu. Na wengine watasema kuna harufu nzuri.
Maccm wanatia aibu mbele za macho ya matifa ya nje
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
sidhan kama kosa moja linaweza kuziba mema yote aliyojaribu kufanya kutetea maslah ya taifa. tukienda hivi bas hakutakuwa na msafi nchi hii..maana hata hawa walioko madarakan ni wachafu kuzidi.
 
ukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..
Wewe kwa Lissu hata sifa ya kuwa mfagizi wa nyumbani kwake huna
 
Lakini kingwangala ameshawaambia kuwa lieu ni mteja wake na anaumwa uchizi. Hivi wakati watanzania wote wapo na jpm yeye anaona chadema itapotea kabisa bora aje na ngonjera zake. We lieu fara na bwege kabisa huna akili una akili za chooni
 
Wakati Lissu akipambana serikali isisaini mikataba ya kinyonyaji,Magufuli alikuepo Bungeni akipitisha sheria za kinyonyaji na za kuibia taifa.
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Huyu Lissu ambaye alimtukana baba wa taifa. Lissu hakubali kuona wenzake wanakuwa recognised wakati yeye yupo. Anataka amfunike hata baba wa taifa...

Wakati huohuo anamsafisha Luwasa. Huyu ndie Lisu ambaye anatuaminisha kuwa alichofanya Magufuli na kamati yake ni rubbish.

Anasahau kuwa Rais kaunda tume nyingine ya sheria ambayo itakuja na mapendekezo ya kisheria kuhusu jambo hili. Kama zipo wekanesses kwenye sheria watasema na watatoa wayforward.

Sasa Lisu ndo anajiona anazo akili kuliko sisi watanzania wote. Hivi hata kama mikataba ipo...maana tayari ipo tufanyeje....tuache wakati tunaona wanatuibia????

Lissu ningekuwa mimi ndo JPM ningekupiga exile...
 
Najiuliza sana swali dogo tu kila nikiona post ya Lisu kiufupi nasubiri apost kuwa amepima yeye au kashuhudia upimaji wa huo mchanga na kajiridhisha kuwa hatuibiwi,nitamuelewa sana,tofauti na hapo aendelee kusoma takwimu na historia kwenye makaratasi hadi pale atakapo ikomboa nchi kwa takwimu na sheria
Muwe mnasoma na kuelewa, lakini Lissu amewatakia heri kama hamtaki kuelewa:

1. Anawaambia nyinyi MaCCM mabashite...nchi hii hatuibiwi kwenye mchanga, tunaibiwa kwenye sheria...so cha kuanza nacho ilikuwa ni kubadili sheria siyo kukamata mchanga ambao umepitia hatua zote kusafirishwa...Lissu anasema a smart president angeanza na sheria

2. Pia ACACIA katika taarifa zao wanasema kama kiasi cha dhahabu kilichokamatwa ni kingi kama Magu alivyoitangazia dunia basi ina maana migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi( hiyo miwili tu) ingeifanya kampuni ya ACACIA kuwa the biggest gold producer in the world kuliko kampuni kama AngloGold inayomiliki migodi 19 ya dhahabu duniani...na basi Tanzania ingekuwa the largest gold producer in the world...sasa kinachotokea wameomba wapatiwe report hiyo lkn serikali na Sizonje wameingia mitini

3. Lissu anasema report ya Profesa Mruma ni pumba tupu na haiwezi kuchukua hata nusu saa kuwa rubbished under serious scrutiny...and he is right; tayari taarifa chache tu za ACACIA kwa wanahisa wao zinaonekana zina credibility kuliko huu circus ya Sizonje na wale waalimu wake wasahihishaji wa mitihani ya wanafunzi pale Mlimani.

MUDA NI MWALIMU MZURI SANA...MSIJE MKAKIMBIA NA TAFUTENI DAWA YA MARADHI YA MOYO MMPE SIZONJE MAANA...what I see, he is heading for a car crush....ANYWAY, sikio la kufa halisikii dawa!
 
Magufuli ulikuja Geita ukasema tupewe magwangala ulienda jumla na uongo wako mpaka Leo haujarudi Geita ,acha Kiki tulia,utapata kodi wapi wakati nchi imefilisika mpak mnakula rambirambi,nchi ina njaa bwana tuache tuagizie chakula nje tule,mahindi yashuke bei
nimechoka sana
 
We ng'ombe ccm ipo madarakani kufanya nn? Kwa nn hamumshitaki? Mafisadi waliotajwa ni 11 hao kumi wako wapi mbwa nyie wafisidi wa raslimari za Tz.......Kazi yenu kutengeneza matatizo alafu mnajifanya mnayatatua baadae baada ya kujaza mitumbo yenu
Kamwe ccm hawana wema na nchi hii
 
Magufuli akishirikiana na mkapa na wabunge wengine wa ccm walipitisha mikataba ya kinyonyaji. Leo anaibuka na kusema tunaibiwa wakati alishiriki kuchora ramani ya wizi wote huu.
Katika Orodha hiyo chonde Usiwasahau Mzee Lowassa na Sumaye hawa Mawaziri Wakuu wastaafu nao wameshiriki kikamilifu katika dhambi hizo zote.

Pamoja ya kuwa Wapo Upande huu mwingine lakini bado wana deni kwa Taifa letu, laana zote nao hazitawaacha salama.
 
Back
Top Bottom