Kalamu Yangu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,093
- 1,027
Sema tutu CCM Mheshimiwa Mbunge. MaCCM ndiyo chama gani ?Huyo Magu Kutetea tumbo lake na CCM wenzake akiwa mbunge Mbunge hakumzuii kupigania anachokiamini akiwa Rais....Hoja zako juu ya hasara za kufanya akifanyacho ni muhimu na unao uwezo na nafasi kutumia njia mbalimbali kumfikishia hoja na tafiti zako(kumbuka utafiti hupingwa na tafiti) badala ya kusubiri tuwe na hali ya Zimbabwe.
Tanzania ni yetu sote na ni muhimu kuliko chochote ukiweza omba hatabkukutana naye na umweleze haya badala ua kuyatumia kama karata yako kisiasa (kama anavyoitumia yeye/ kwa mujibu wa maelezo yako).
Tafadhari Mheshimiwa ziweke hoja na ushauri mbele kwa maslahi ya taifa badala ya kukazania kuwa aliyepitisha mikataba ni yeye na chama chake....Kuendeleza wimbo huu ni unafiki na uzandiki mkubwa, au ulitaka mambo yabaki kama yalivyokuwa ili iwe hoja ya vyama vyetu vya upinzani kila baada ya nusu muongo.
Tanzania ni yetu sote na ni muhimu kuliko chochote ukiweza omba hatabkukutana naye na umweleze haya badala ua kuyatumia kama karata yako kisiasa (kama anavyoitumia yeye/ kwa mujibu wa maelezo yako).
Tafadhari Mheshimiwa ziweke hoja na ushauri mbele kwa maslahi ya taifa badala ya kukazania kuwa aliyepitisha mikataba ni yeye na chama chake....Kuendeleza wimbo huu ni unafiki na uzandiki mkubwa, au ulitaka mambo yabaki kama yalivyokuwa ili iwe hoja ya vyama vyetu vya upinzani kila baada ya nusu muongo.