Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Tundu Lisu anajichekesha tu, wangapi zamani walikua wazalendo ila sasa wamebadilika, Tundu Lisu wa Chadema ni mnafiki mnafiki, tofauti na Lisu wa zamani.. Sasa hivi yupo chini ya Mbowe.. Ni sawa na utake Polepole wa Bunge la katiba awe na wa sasa sawa