HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,509
kwa hio tunahitimisha kwamba magufuli hausiki...ni hicho tu hao kina mkapa watajiju..kwa sababu yeye kawa raisi wanasahau watu wabovu kabisa na waliosapoti ujinga ndio wanawaongoza kwenye chama chao...bora kina mkapa tunaweza kuwasamehe kwa kumpitisha raisi wetu.....sio hao wengine na nawaambie huyo lowasa ameondoka ccm kwa sababu alikatwa..angepita asingekua upinzani leo....kwa hio basi nahitimisha kusema kua lowasa na team yake iliohamia huko sio wakombozi kwa taifa hili na hawatokaa wawe wakombozi daima..kina dk slaa waliokua wanasema vitu vya kweli watu wakamdharauKuliko hata mkapaa