JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,456
Nimesoma hii stori nikajikuta naanza kucheka mwenyewe, Sugu ban ani mbishi na mtata sana.
-----------------
Aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewajibu waliomdhihaki kwenye mtandao wa Instagram kwa kumpa mke wake ujauzito baada ya kumsema kwamba ni mgumba.
Sugu ambaye kwa sasa pia anajiita Jongwe amejibu hilo kwenye mashairi ya wimbo wake mpya wa Taita aliomshirikisha Billnass ambapo unasema:
"Sina waganga kwangu Mungu ndio muumba, kumbuka wadangaji wa Insta waliposema wife wangu mgumba, hatukuwajibu tukawajibu kwa mimba, leo tuna watoto wanagawana vyumba kwenye mjumba."
-----------------------
-----------------
Aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewajibu waliomdhihaki kwenye mtandao wa Instagram kwa kumpa mke wake ujauzito baada ya kumsema kwamba ni mgumba.
Sugu ambaye kwa sasa pia anajiita Jongwe amejibu hilo kwenye mashairi ya wimbo wake mpya wa Taita aliomshirikisha Billnass ambapo unasema:
"Sina waganga kwangu Mungu ndio muumba, kumbuka wadangaji wa Insta waliposema wife wangu mgumba, hatukuwajibu tukawajibu kwa mimba, leo tuna watoto wanagawana vyumba kwenye mjumba."
-----------------------