Interviews zinaisha Leo..so tulia kidogo
Interviews zinaisha Leo..so tulia kidogo
We bidada utakuwa uliomba nhif, maana kila uzi wa nhif huwa hukosekani
Interviews zinaisha Leo..so tulia kidogo
tatiana????..,unapenda ee
Mi nipo humu nafanya kazi...nikiona kinachohusu kazi za hapa nawapa updates.. kwani nimekosea au hamtaki?
Napenda nini?
si kosa, unadhani itachukua muda gani kutoka leo mpk watu waitwe kazini au mpaka bunge la bajeti liishe????
Fasta tuu hawachelewi labda tuseme inategemea na post gani maana kuna post mtu alikimbia kazi mpaka sahivi sijui alikimbia kwa sababu ya maslahi au zile any other duties zilikuwa za kutosha sana.
madam vipi zile za juzi bado tu?Mi nipo humu nafanya kazi...nikiona kinachohusu kazi za hapa nawapa updates.. kwani nimekosea au hamtaki?