Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Swali: Ni nani aliondoa walinzi eneo la area C linalolindwa 24/7?
Jibu: unaichafua nchi
Swali: Ni kwanini Kalemani aliondoa CCTV camera mara tu baada ya tukio na alitumwa na nani?
JIBU: Rudi uwatumikie wana singida
Swali: Kwanini wale wana CCM waliotangaza hadharani niuwawe hawakuhojiwa kabla na baada ya tukio?
JIBU: Tunazuia mshahara wako
Swali: Kwanini mnakataa uchunguzi wa FBI na Scotland yard ambao wako tayari kuja?
JIBU: Sisi ni nchi huru. Swali: Mbona Zanzibar walikuja kuchunguza issue ya padre?
Jibu: Tutaumbuka.
Jibu: unaichafua nchi
Swali: Ni kwanini Kalemani aliondoa CCTV camera mara tu baada ya tukio na alitumwa na nani?
JIBU: Rudi uwatumikie wana singida
Swali: Kwanini wale wana CCM waliotangaza hadharani niuwawe hawakuhojiwa kabla na baada ya tukio?
JIBU: Tunazuia mshahara wako
Swali: Kwanini mnakataa uchunguzi wa FBI na Scotland yard ambao wako tayari kuja?
JIBU: Sisi ni nchi huru. Swali: Mbona Zanzibar walikuja kuchunguza issue ya padre?
Jibu: Tutaumbuka.