antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,626
- 120,112
Ilikuwa wamle nyama, au??Maswali yote jibu moja tu
'Sasa si urudi nyumbani'
Ilikuwa wamle nyama, au??Maswali yote jibu moja tu
'Sasa si urudi nyumbani'
Zimeokotwa maiti kwenye viroba, umuhimu wa FBI na CIA kuja haukuonekana.Swali: Ni nani aliondoa walinzi eneo la area C linalolindwa 24/7?
Jibu: unaichafua nchi
Swali: Ni kwanini Kalemani aliondoa CCTV camera mara tu baada ya tukio na alitumwa na nani?
JIBU: Rudi uwatumikie wana singida
Swali: Kwanini wale wana CCM waliotangaza hadharani niuwawe hawakuhojiwa kabla na baada ya tukio?
JIBU: Tunazuia mshahara wako
Swali: Kwanini mnakataa uchunguzi wa FBI na Scotland yard ambao wako tayari kuja?
JIBU: Sisi ni nchi huru. Swali: Mbona Zanzibar walikuja kuchunguza issue ya padre?
Jibu: Tutaumbuka.
Hao wote uchunguzi wa Polisi ilikuwa unafanyika. Huyo mtu mmoja unayemsema, pamoja na viashiria vyote vinavyo tajwa hakuna hata polisi mmoja kapewa failing ili uchunguzi ufanyweZimeokotwa maiti kwenye viroba, umuhimu wa FBI na CIA kuja haukuonekana.
Wamekufa watu wengi tu kule kibiti umuhimu wa hao wapelelezi haukuonekana.
Leo mtanzania mmoja amejeruhiwa kwa risasi ndipo umuhimu wa FBI na CIA unapoonekana!!.